Zari: Diamond usinichafulie maisha

Zari: Diamond usinichafulie maisha

Zari Ni Malaya anayejua kuongea kingereza na kujiweka classic kila siku na mwambia demu wangu.

Zari hamna kitu pale Ana bisha,huyo zari wenu Ni vile watanzania hawajui kingereza basi wakiona madoido yale wanapagawaaa..

Zari na wema hamna tofauti,sema wema ame base na wanaume wa ndani, zari ame target Africa nzima.
We ume target wapi mkuu,naona una attack mtu unaemuona kwnye mitandao tu,usisahau ni mama yule
 
Hana point hata moja huyo Zari ni kahaba tu,yaani nimemshusha vyeo mpaka 0 kabisaa!

Yule Trainer watu walianza kuongea kua anamla siku nyingi saana,kumbe anamla kweli halafu kwenye kitanda alichokununulia baba watoto wako!!hana adabu kabisa

Haitoshi anapeleka wanaume kwenye nyumba alonunua mwanaume mwenzio kweli?!huyu kahaba bora angeenda yeye Ivan akabaki wallah
 
Zari angekaa kimya tu... Muungwana akivuliwa nguo huchutama...

Kwanza sio mwandiko wa Zari huo.
 
Zari Ni Malaya anayejua kuongea kingereza na kujiweka classic kila siku na mwambia demu wangu.

Zari hamna kitu pale Ana bisha,huyo zari wenu Ni vile watanzania hawajui kingereza basi wakiona madoido yale wanapagawaaa..

Zari na wema hamna tofauti,sema wema ame base na wanaume wa ndani, zari ame target Africa nzima.
Mimi nilikuwa najuwa huyo Zarina hajui kiswahili mpaka pale niliona tangazo la biashara la pampers za watoto kwa tv akiongea kiswahili safi kabisa kuwazidi Watanzania wenzetu waliozaliwa Watanzania wanaoishi upanga hawa kina Panjwani.
 
Nimegundua Diamond ni mtu mkubwa sana hapa bongo..umaarufu wake unaenda sambamba na umaarufu wa raisi wa jamhuri ya muungano Tanzania, hata makonda hafati.....

Jamaa tangu atoe nyimbo na nyimbo i kick view one Million with in 17 hrs, hali imebadilika na leo kazungumzia mahusiano na Zari, ndo kachafua kabisa hali ya hewa huko instagram...accnt zote hot za akina mange kimambi na wngine ni kumzungumzia diamond tuuu..duh
humu jf na kwenyewe ni hivohivo, nachojua jamaa amefanya hvo strategically, anacreate attention kwenye nyimbo yake mpya..na atawin game,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hana point hata moja huyo Zari ni kahaba tu,yaani nimemshusha vyeo mpaka 0 kabisaa!

Yule Trainer watu walianza kuongea kua anamla siku nyingi saana,kumbe anamla kweli halafu kwenye kitanda alichokununulia baba watoto wako!!hana adabu kabisa

Haitoshi anapeleka wanaume kwenye nyumba alonunua mwanaume mwenzio kweli?!huyu kahaba bora angeenda yeye Ivan akabaki wallah
Lakini na nyinyi kaka zetu ile nyumba angenunuliwa Hadija wa Temeke mngemfukuza Mganda hamthubutu kumtoa ndani.
 
Mambo ni motoo usiku huu. Baada ya Diamond kudai alimuacha Zari sababu alichepuka na Peter wa PSquare pamoja na personal trainer wake, Zari naye amerudisha mapigo kwa kumwambia Diamond kwamba alishamtumia Black Rose hivyo asianze kufukua makaburi.

Zari ameenda mbali zaidi kwa kusema Diamond asitake na yeye afukue makaburi kwani atatamani ardhi ipasuke aingie kujificha.

View attachment 1079554

[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]

View attachment 1079551
View attachment 1079550
View attachment 1079549
View attachment 1079548
is this b-i-t-c-h a South African or Ugandan?

the accent leans more southwards...no?
 
Back
Top Bottom