Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
😀😀😀😀Unawaza mbaliUtajuaje.. Pengine domo hana mtoto pale kwaio kiapo hakina madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Unawaza mbaliUtajuaje.. Pengine domo hana mtoto pale kwaio kiapo hakina madhara
Zari anaandika kiswahili vizuri nenda kwenye account yake IntragramZari angekaa kimya tu... Muungwana akivuliwa nguo huchutama...
Kwanza sio mwandiko wa Zari huo.
Maa maa Yake ndo mshauri wake
Mambo ni motoo usiku huu. Baada ya Diamond kudai alimuacha Zari sababu alichepuka na Peter wa PSquare pamoja na personal trainer wake, Zari naye amerudisha mapigo kwa kumwambia Diamond kwamba alishamtumia Black Rose hivyo asianze kufukua makaburi.
Zari ameenda mbali zaidi kwa kusema Diamond asitake na yeye afukue makaburi kwani atatamani ardhi ipasuke aingie kujificha.
View attachment 1079554
[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]
View attachment 1079551
View attachment 1079550
View attachment 1079549
View attachment 1079548
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kaona Tanasha hana kiki ana nyota ya giza ameamua amzungumzie Zari.
Acha kumuhusisha Davido na vitu vya kipumbavu.Diamond is back! Mliosema kwa nini ameachwa nyuma na kina Davido subirieni moto muuone.
Zari ameapa kwa watoto wawili tu wa Diamond kwasababu ni kweli alikiwa anadinywa kwenye choo cha gym na trainer wake.Hana washauri wazuri
ile ya magoli kwenye mechi ilibuma.. kaja na uongo. Duh!! Zari kaapa watoto wao wafe kama alicheat kabla ya black rose alipomuacha!!!!
Na wewe uache wivu kwa mwanaume mwenzio hizo tabia za kidemuAcha kumuhusisha Davido na vitu vya kipumbavu.
Duh!Zari ameapa kwa watoto wawili tu wa Diamond kwasababu ni kweli alikiwa anadinywa kwenye choo cha gym na trainer wake.
Ashawini game!asseeehhNimegundua Diamond ni mtu mkubwa sana hapa bongo..umaarufu wake unaenda sambamba na umaarufu wa raisi wa jamhuri ya muungano Tanzania, hata makonda hafati.....
Jamaa tangu atoe nyimbo na nyimbo i kick view one Million with in 17 hrs, hali imebadilika na leo kazungumzia mahusiano na Zari, ndo kachafua kabisa hali ya hewa huko instagram...accnt zote hot za akina mange kimambi na wngine ni kumzungumzia diamond tuuu..duh
humu jf na kwenyewe ni hivohivo, nachojua jamaa amefanya hvo strategically, anacreate attention kwenye nyimbo yake mpya..na atawin game,
Hewalaaaaaa!!!Zari Ni Malaya anayejua kuongea kingereza na kujiweka classic kila siku na mwambia demu wangu.
Zari hamna kitu pale Ana bisha,huyo zari wenu Ni vile watanzania hawajui kingereza basi wakiona madoido yale wanapagawaaa..
Zari na wema hamna tofauti,sema wema ame base na wanaume wa ndani, zari ame target Africa nzima.
MASTER MIND himself.....ana akili kubwa sana.Nimegundua Diamond ni mtu mkubwa sana hapa bongo..umaarufu wake unaenda sambamba na umaarufu wa raisi wa jamhuri ya muungano Tanzania, hata makonda hafati.....
Jamaa tangu atoe nyimbo na nyimbo i kick view one Million with in 17 hrs, hali imebadilika na leo kazungumzia mahusiano na Zari, ndo kachafua kabisa hali ya hewa huko instagram...accnt zote hot za akina mange kimambi na wngine ni kumzungumzia diamond tuuu..duh
humu jf na kwenyewe ni hivohivo, nachojua jamaa amefanya hvo strategically, anacreate attention kwenye nyimbo yake mpya..na atawin game,
Zari amekuwa admired na wanawake wengi wa bongo.Zari nilikua namchukulia tawi za juu lakini alivyotoka na domo tu nikamshusha nyota zote.