Zari: Diamond usinichafulie maisha

Zari angekaa kimya tu... Muungwana akivuliwa nguo huchutama...

Kwanza sio mwandiko wa Zari huo.
Zari anaandika kiswahili vizuri nenda kwenye account yake Intragram
 
Hapo anachafuliwa nini?mbna yeye mara kibao anamtuhumu mzazi mwenzie .wote wajinga hakuna mwenye nafuu
 
Hana washauri wazuri
ile ya magoli kwenye mechi ilibuma.. kaja na uongo. Duh!! Zari kaapa watoto wao wafe kama alicheat kabla ya black rose alipomuacha!!!!
Zari ameapa kwa watoto wawili tu wa Diamond kwasababu ni kweli alikiwa anadinywa kwenye choo cha gym na trainer wake.
 
Grow some balls? Hahaha hii kali
But balls are weak and sensitive
Let him grow a pussy...
[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ashawini game!asseeehh
 
Hewalaaaaaa!!!
 
MASTER MIND himself.....ana akili kubwa sana.
 
Zari nilikua namchukulia tawi za juu lakini alivyotoka na domo tu nikamshusha nyota zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ