hahahhajamani hakuna sehem ya ku edit khaaaa sio kwa mchapio huo, umbea huu
kabisakasema ukweli
Mwongo huyoAkihojiwa na kituo maarufu cha radio mjini, staa na mpenzi mwanamuziki maarufu nchini diamond platinums, zarinah hassan, amesema kuwa hakuna kilichomvutia kwa mwanamuziki huyo ila Wamejikuta tu wakiwa kwenye mawasiliano, zari aliendelea kutiririka kuwa hata walivyoonana na diamond kwa mara ya kwanza hakuvutiwa a nae kimapenzi
Thanks angalau kapatikana mmoja mwenye uelewa[emoji122]Ninadhani alimaanisha haikuwa love at the first sight but it developed gradually since they met.
Halafu wewe,huwa unanikera na kidhungu chako,ona sasa nimemaliza dictionary zangu zote na bado nimetoka patupu.(basi watu watachukulia siriaz)Ninadhani alimaanisha haikuwa love at the first sight but it developed gradually since they met.
Wewe una mzaha, wapo wanaojua kizungu bwana.Halafu wewe,huwa unanikera na kidhungu chako,ona sasa nimemaliza dictionary zangu zote na bado nimetoka patupu.(basi watu watachukulia siriaz)
Umenimaliza kabisaAlivutiwa, hakuvutiwa atajua mwenyewe!!
Tunachojua yeye ni mali ya Diamond tena kamilikiwa kienyeji..!!! Full stop.
Sijaisikia hiyo interview lakini maneno kama hayo ndiyo yatampa ugonjwa wa moyo bi Sandra.kumbuka aliulizwa nini anapenda kutoka kwa diamond au kwenye mwili wake akasema hakuna kabisa tena akiwa mkavu,lol