Zari: Hakuna kilichonivutia kwa Diamond nilipomuona mara ya kwanza

Halafu diamond akakazia " sema mama hata kama ulinipendea lidomoo langu"
 
Duh mkuu sijui kama iko online maana ilikuwa ni kwenye kipindi cha leo tena.
Trust me hakuna kibaya alichosema ila mtu akichukua part of it akaongeza na alivyoelewa yeye basi ndipo anaharibu
Kweli mkuu

Hakuna kibaya alichoongea Zari tena jokes za kufa mtuu,..

Nice interview kwa kweli..
 
Duuuuuh,we mbona umeenda mbali sana .....Mi ndivyo nilivyo,nikiamua kukusifia waweza kuona dunia nzima yako,na nikiamua kukuponda waweza kujinyonga.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah! Sijaisikia hiyo intaviyu ila nzuri saaana sana.
 
Mama lina miakili lile sijapata ona

Anaangalia vision ya wanae kwanza..harusi badaeee sana

Domo hachomoi pale hata Wema ampe O hataki
hana bahati na ndoa ya kanisani wala msikitini..
anatamani sana kuolewa Ila ndo anajua mondi wala hatomuoa wale tu good time
 
hana bahati na ndoa ya kanisani wala msikitini..
anatamani sana kuolewa Ila ndo anajua mondi wala hatomuoa wale tu good time
Kweli humpendi hata akikupa tabasamu hukawii kusema kakunyari...
Mzima lakini madam geniveros?
 
wewe nae kama unataka kumtongoza si umtongoze tu,wacha kujizungusha hapa mfyuuu, peleken ubashara wenu huko inbox humu ubuyu tu
Text mubashara...haha hahaa
 
hana bahati na ndoa ya kanisani wala msikitini..
anatamani sana kuolewa Ila ndo anajua mondi wala hatomuoa wale tu good time
Zari kasema atamtambulisha rasmi Domo kwa babaake March mwaka huu...

Na ndoa yao itakuwa gumzo EA..

Halafu hacheki face to face, kicheko kikimbana anainama chini anacheka huku kaziba mdomo!![emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…