Sijapata ona milionea tena mkuu wa chuo mwenye empire anahangaika kona za Africa kutangaza diapers?? Never seen 😭😭😭 . .Nyambaf Hakuna dili hapo, ni vile nimemcheka juzi kawapigia simu fasta kuwa anakuja fanya promo for free. 🤣😂 nawahakikishia hapo anajilipia katicket ka ndege to bongo just so she can prove Mange wrong, aii mama nakufa 🤣😂😂. Tena atakuwa kawaambia ntakuwa Tz for my personal stuff this week I can come by to do promotion for free. I gurantee you ndo alichofanya 😩. I know Zari ka nimemzaa😩 . . Jamani she used to do the same hata Danube. Ukimcheka tu anawatafuta Danube pls can I come to tz do promotion for free? 🤣😂. Yani hapo naamini kashindwa kuwatafuta Danube sababu kaona wamempa na Hamisa deal ila ingekuwa Danube hawashirikiani na Hamisa hili dili hewa lingekuwa ni Danube. . . Huyu bibi ni fake nawaambia mimi hakuna dili hapo, kajilipia mwenyewe kijiticket cha ndege to Dar just to prove Mange wrong kuwa bado anapata deals tz. 🤣 Bibi ana shida huyu 😂 . . Minions mumkumbushe bibi enu akienda Dar aende na funguo za nyumba za Dai kabisa amkabidhi maana si keshanunua mpya leo? 🤣🤣 . Na mjue agenda yake ya kwanza kabisa huko Tz ni kufanya interview ya kumjibu Dai. Hapo lazma keshawatafuta kina Millard ayo au clouds akamseme Dai. . Mtaniambia kama huyu ataondoka Tz bila kufanya interview ya kumchamba Dai. Yani hii Safari ya Tz hakuna dili hata moja anafata drama ili ajisafishe na ile interview ya Dai maana imemchafua mno. . . Haki mpaka wiki iishe hii Zari atakuwa kapungua kila 10 🤣😂. Huku amkremishe kingbae mistari ya kumwambia she is beautiful, huku akapige picha kwenye backyard aonyeshe kanunua nyumba, huku atafute Safari ya bongo approve kuwa sio kweli hapati deals bongo, huku atafute watu wa interview akamchambe Diamond. Huku akafanye shopping ya vibathrobe vya Versace aje kuringishia ana hela, huku aendeshe Ferrari aposti. Hapo bado hajajipiga picha za ofisini ajionyeshe ye bosslady, haki Bibi ana mambo mengi huyu, kuna siku atadondoka ghafla pressure 😭😩 . . Ila Bi Tukinao sikukwamba go to Tanzania I said nenda London, Kaombe visa ya UK au USA. Bosiledi asieweza kupewa visa ya USA sijapata ona? Bosiledi aliepigwa ban UK sijapata kuona😭😩