Zari kutua Tanzania Jumamosi hii ....

Zari kutua Tanzania Jumamosi hii ....

Duh anelalana na nani tena??mtoto mdogo.
Vibenten vingi tu, mtu ana 50yrs ila mambo yake loh!
Sijapata ona milionea tena mkuu wa chuo mwenye empire anahangaika kona za Africa kutangaza diapers?? Never seen 😭😭😭 . .Nyambaf Hakuna dili hapo, ni vile nimemcheka juzi kawapigia simu fasta kuwa anakuja fanya promo for free. 🤣😂 nawahakikishia hapo anajilipia katicket ka ndege to bongo just so she can prove Mange wrong, aii mama nakufa 🤣😂😂. Tena atakuwa kawaambia ntakuwa Tz for my personal stuff this week I can come by to do promotion for free. I gurantee you ndo alichofanya 😩. I know Zari ka nimemzaa😩 . . Jamani she used to do the same hata Danube. Ukimcheka tu anawatafuta Danube pls can I come to tz do promotion for free? 🤣😂. Yani hapo naamini kashindwa kuwatafuta Danube sababu kaona wamempa na Hamisa deal ila ingekuwa Danube hawashirikiani na Hamisa hili dili hewa lingekuwa ni Danube. . . Huyu bibi ni fake nawaambia mimi hakuna dili hapo, kajilipia mwenyewe kijiticket cha ndege to Dar just to prove Mange wrong kuwa bado anapata deals tz. 🤣 Bibi ana shida huyu 😂 . . Minions mumkumbushe bibi enu akienda Dar aende na funguo za nyumba za Dai kabisa amkabidhi maana si keshanunua mpya leo? 🤣🤣 . Na mjue agenda yake ya kwanza kabisa huko Tz ni kufanya interview ya kumjibu Dai. Hapo lazma keshawatafuta kina Millard ayo au clouds akamseme Dai. . Mtaniambia kama huyu ataondoka Tz bila kufanya interview ya kumchamba Dai. Yani hii Safari ya Tz hakuna dili hata moja anafata drama ili ajisafishe na ile interview ya Dai maana imemchafua mno. . . Haki mpaka wiki iishe hii Zari atakuwa kapungua kila 10 🤣😂. Huku amkremishe kingbae mistari ya kumwambia she is beautiful, huku akapige picha kwenye backyard aonyeshe kanunua nyumba, huku atafute Safari ya bongo approve kuwa sio kweli hapati deals bongo, huku atafute watu wa interview akamchambe Diamond. Huku akafanye shopping ya vibathrobe vya Versace aje kuringishia ana hela, huku aendeshe Ferrari aposti. Hapo bado hajajipiga picha za ofisini ajionyeshe ye bosslady, haki Bibi ana mambo mengi huyu, kuna siku atadondoka ghafla pressure 😭😩 . . Ila Bi Tukinao sikukwamba go to Tanzania I said nenda London, Kaombe visa ya UK au USA. Bosiledi asieweza kupewa visa ya USA sijapata ona? Bosiledi aliepigwa ban UK sijapata kuona😭😩
 
Kama kutompenda mtu.ni zambi basi silipendi li tukinao, na tabia chafu kulala na watoto wadogo, bureee.
Sijui watoto wake wanajifunza nini kutoka kwake? Nfyuuuuuuuux

Ukizeeka kubali uzeee kha!
Utakuwa unachuki na mafanikio yake wewe. Havi hapa bongo kuna mwanamke mwwnye mafanikio kama au zaidi ya zari? Bakini kupiga porojo na umbea tu
 
Tunaomba serikali ya Tz itende haki kwenye hili jambo la Zari Hassan mwenye passport ya South Africa ambae anatarajia kuingia Tanzania siku ya Ijumaa tarehe 3 May 2019. . . Immigration ya Tanzania Huyu mganda mwenye passport ya South Africa ana kibali cha kazi? Anaingiaje Tanzania kufanya kazi bila kibali cha kazi? Immigration kutwa mnashinda kariakoo kukamata wachina mnadai hawana vibali vya kazi huyu Zari je yeye ana kibali cha kazi?Na hii ni tabia yake ya miaka mingi. Cha pili huyu Zari Hassan mwaka jana mwezi wa 9 alizuiliwa immigration ya UK zaidi ya masaa 15 na Baadae akapigwa ban haruhusiwi kukanyaga tena UK, nyinyi kama immigration mnatakiwa muwasiliane na immigraiton ya UK mfatilie.Mfatilieni passport yake ya Kiganda aliyoingia nayo Tz 2 years ago na passport yake ya sasa ya ki South Africa, mtaona umri ni tofauti kabisa. Huyu mtu ni age faker. . . TRA mmewakalia kooni watanzania juu ya kulipa kodi, vijana wa Tanzania hawahemi mnawadai kodi.Mpaka wamachinga mnawadai kodi, je inakuwaje huyu mganda miaka yote anapiga kazi Tz na halipi kodi?Huyu Zari tayari keshakwepa kodi nyingi Tz anatakiwa kufunguliwa kesi ya kukwepa kodi na tena anaonyesha hadharani kazi bila kulipa kodi? Yeye ni nani anafanya kazi Tz bila kulipa kodi na bila kuwa na work permit?Ingefaa mumpigie mahesabu ya kodi za nyuma kama mlivyowapigia Accasia. . . Polisi na TCRA Kutwa Mnakamata watu na kuwafungulia kesi sababu ya matusi ya mitandaoni, juzi kushinda jana Zari kajirekdoi video kabisa anamtukana mtanzania([emoji6]) na mara kwa mara huwa anatukana taifa zima kuwa halijui english mpaka rais wao hajui english.Huyu mtu anadharau mpaka rais hajui english.Huyu mwanamke anasema hadharani kuwa sehemu zake za siri ndo zinampatia mali, anawafundisha nini wadogo zetu? . . TAKUKURU& TRA Hii kampuni ya softcare pia ichukuliwe hatua, inaleta watu nchini wa kufanya kazi bila work permit na wala halipi kodi? Hii sio mara ya kwanza wamemleta huyu bibi kufanya kazi.Wazawa hawana kazi wao wanaleta maforeigner tena bila kufata sheria za nchi. . . Haya na nyie mshikie bango, si mnajua mimi serikali hawanipendi [emoji23] ila watawasikiliza nyinyi mkipiga kelele za kutosha.
Yule dada mwenye akili ya kimaskini siyempenda mtu yoyote aliyemzidi kimaisha ndio katuma hii
 
Juzi amewaambia kwamba maendeleo yake ni baada ya k yake kutumika.
Amewaispire watumie k zao kujiingizia kipato, sasa hivi wanashindana kufuatilia k zao zimewafanyia nini.
Aise yashakuwa mashindano sasa kumbe;
Mmewake si alikuwa tajiri? au alinyimwa mirathi
 
Utakuwa unachuki na mafanikio yake wewe. Havi hapa bongo kuna mwanamke mwwnye mafanikio kama au zaidi ya zari? Bakini kupiga porojo na umbea tu
Porojo na umbea tu
 
Utakuwa unachuki na mafanikio yake wewe. Havi hapa bongo kuna mwanamke mwwnye mafanikio kama au zaidi ya zari? Bakini kupiga porojo na umbea tu
Wacha upimbi kwanza maliza shule
 
Sijapata ona milionea tena mkuu wa chuo mwenye empire anahangaika kona za Africa kutangaza diapers?? Never seen 😭😭😭 . .Nyambaf Hakuna dili hapo, ni vile nimemcheka juzi kawapigia simu fasta kuwa anakuja fanya promo for free. 🤣😂 nawahakikishia hapo anajilipia katicket ka ndege to bongo just so she can prove Mange wrong, aii mama nakufa 🤣😂😂. Tena atakuwa kawaambia ntakuwa Tz for my personal stuff this week I can come by to do promotion for free. I gurantee you ndo alichofanya 😩. I know Zari ka nimemzaa😩 . . Jamani she used to do the same hata Danube. Ukimcheka tu anawatafuta Danube pls can I come to tz do promotion for free? 🤣😂. Yani hapo naamini kashindwa kuwatafuta Danube sababu kaona wamempa na Hamisa deal ila ingekuwa Danube hawashirikiani na Hamisa hili dili hewa lingekuwa ni Danube. . . Huyu bibi ni fake nawaambia mimi hakuna dili hapo, kajilipia mwenyewe kijiticket cha ndege to Dar just to prove Mange wrong kuwa bado anapata deals tz. 🤣 Bibi ana shida huyu 😂 . . Minions mumkumbushe bibi enu akienda Dar aende na funguo za nyumba za Dai kabisa amkabidhi maana si keshanunua mpya leo? 🤣🤣 . Na mjue agenda yake ya kwanza kabisa huko Tz ni kufanya interview ya kumjibu Dai. Hapo lazma keshawatafuta kina Millard ayo au clouds akamseme Dai. . Mtaniambia kama huyu ataondoka Tz bila kufanya interview ya kumchamba Dai. Yani hii Safari ya Tz hakuna dili hata moja anafata drama ili ajisafishe na ile interview ya Dai maana imemchafua mno. . . Haki mpaka wiki iishe hii Zari atakuwa kapungua kila 10 🤣😂. Huku amkremishe kingbae mistari ya kumwambia she is beautiful, huku akapige picha kwenye backyard aonyeshe kanunua nyumba, huku atafute Safari ya bongo approve kuwa sio kweli hapati deals bongo, huku atafute watu wa interview akamchambe Diamond. Huku akafanye shopping ya vibathrobe vya Versace aje kuringishia ana hela, huku aendeshe Ferrari aposti. Hapo bado hajajipiga picha za ofisini ajionyeshe ye bosslady, haki Bibi ana mambo mengi huyu, kuna siku atadondoka ghafla pressure 😭😩 . . Ila Bi Tukinao sikukwamba go to Tanzania I said nenda London, Kaombe visa ya UK au USA. Bosiledi asieweza kupewa visa ya USA sijapata ona? Bosiledi aliepigwa ban UK sijapata kuona😭😩
😁😁😁😁😁😁😁😁mange habari nyingine. Asante huu ujumbe kuuleta hapa, yaan mungejua waganda wasivyolipenda li tukinao basi tu, wa tz ndio wanaompa kiki, buree
 
Usipoteze muda wako kwenye kuhukumu wengine, hasa kwenye kutafuta makosa kwenye maisha yao, badala yake angalia kipi kizuri ambacho mtu anafanya na unaweza kujifunza kwake. Kwenye maisha watu wengi wamekuwa wanapenda kuangalia makosa ya wengine ili kujidhibitishia kwamba licha ya watu hao kupiga hatua, wana mapungufu makubwa, lakini hilo halitakuwa na msaada kwako. Kila aliyepiga hatua kuna vitu vizuri anavyofanya, ambavyo unaweza kujifunza na wewe ukawa bora sana. Jifunze mazuri ya wengine na yatumie kupiga hatua zaidi.
😁😁😁😁😁😁😁😁mange habari nyingine. Asante huu ujumbe kuuleta hapa, yaan mungejua waganda wasivyolipenda li tukinao basi tu, wa tz ndio wanaompa kiki, buree
 
Tunaomba serikali ya Tz itende haki kwenye hili jambo la Zari Hassan mwenye passport ya South Africa ambae anatarajia kuingia Tanzania siku ya Ijumaa tarehe 3 May 2019. . . Immigration ya Tanzania Huyu mganda mwenye passport ya South Africa ana kibali cha kazi? Anaingiaje Tanzania kufanya kazi bila kibali cha kazi? Immigration kutwa mnashinda kariakoo kukamata wachina mnadai hawana vibali vya kazi huyu Zari je yeye ana kibali cha kazi?Na hii ni tabia yake ya miaka mingi. Cha pili huyu Zari Hassan mwaka jana mwezi wa 9 alizuiliwa immigration ya UK zaidi ya masaa 15 na Baadae akapigwa ban haruhusiwi kukanyaga tena UK, nyinyi kama immigration mnatakiwa muwasiliane na immigraiton ya UK mfatilie.Mfatilieni passport yake ya Kiganda aliyoingia nayo Tz 2 years ago na passport yake ya sasa ya ki South Africa, mtaona umri ni tofauti kabisa. Huyu mtu ni age faker. . . TRA mmewakalia kooni watanzania juu ya kulipa kodi, vijana wa Tanzania hawahemi mnawadai kodi.Mpaka wamachinga mnawadai kodi, je inakuwaje huyu mganda miaka yote anapiga kazi Tz na halipi kodi?Huyu Zari tayari keshakwepa kodi nyingi Tz anatakiwa kufunguliwa kesi ya kukwepa kodi na tena anaonyesha hadharani kazi bila kulipa kodi? Yeye ni nani anafanya kazi Tz bila kulipa kodi na bila kuwa na work permit?Ingefaa mumpigie mahesabu ya kodi za nyuma kama mlivyowapigia Accasia. . . Polisi na TCRA Kutwa Mnakamata watu na kuwafungulia kesi sababu ya matusi ya mitandaoni, juzi kushinda jana Zari kajirekdoi video kabisa anamtukana mtanzania([emoji6]) na mara kwa mara huwa anatukana taifa zima kuwa halijui english mpaka rais wao hajui english.Huyu mtu anadharau mpaka rais hajui english.Huyu mwanamke anasema hadharani kuwa sehemu zake za siri ndo zinampatia mali, anawafundisha nini wadogo zetu? . . TAKUKURU& TRA Hii kampuni ya softcare pia ichukuliwe hatua, inaleta watu nchini wa kufanya kazi bila work permit na wala halipi kodi? Hii sio mara ya kwanza wamemleta huyu bibi kufanya kazi.Wazawa hawana kazi wao wanaleta maforeigner tena bila kufata sheria za nchi. . . Haya na nyie mshikie bango, si mnajua mimi serikali hawanipendi [emoji23] ila watawasikiliza nyinyi mkipiga kelele za kutosha.
Yaani mange ana roho kama ya shetani mwenye mapembe kila kona
 
Back
Top Bottom