Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
HahahaaaaaaInakuwaje Sasa unateseka wewe?
Mtu yupo Sauzi hamjuani inakuwaje mpaka unaumia?
Haya Ni matumizi mabaya ya maumivu
Jinsia ya warumi utata mtupu, nadhani tumteke tumvue suruali/sketi tujiridhishe make anatuvuruga tu.Hivi huyu warumi ni KE au ME?
Habari njema kwa Team zari ni hii , Mama Tee, aka zari the bosslady , mrs King D atatua nchini Tanzania Jumamosi hii(Tarehe 4) kama balozi wa diapers za softcare kutangaza bidhaa hizo ambapo pia ataelekea mliman City kwenye duka la babyshopping kwa ajili kuhamisha watu kununua bidhaa hizo .
Nicheke kimanyema mie , kama nawaona mastaa wa bongo wana yojiarishia, maana najua siku hiyo hapatosha mujini , dar nzima itahamia mliman city na mbagala siku hiyo . Dah zari anazidi ku shine tu ***** . Zari atabaki kuwa juu
Hivi Team mange niwaulize, boss wenu alishawahi kuwa balozi wa nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu mtu mnampenda jamani.
Kila anachokifanya mnafahamu mna hamu ya kuonyesha mnavyompenda ila aibu kuonekana mmemuasi mange. Peleni sana
Mi nimevutiwa na sura yake hapo!!!
Halafu mi siabudu mtu yaani sio mfuasi wa mwanadamu yoyote
HahahahahaUnatamanije Mtu usiyemjua? ndio mara anakuja amba ruti...sijui utamlaumu nani.
Hahahahaha we unatafuta tamu tamu,,, ngoja nikazisakue zile ambazo hampendi kuziona
Poa poa zilete maana leo yupo live
#hatuabudumtubalitunatamanimafanikioyake
Poa poa zilete maana leo yupo live
#hatuabudumtubalitunatamanimafanikioyake
Camera za bongo zimegoma kum filterTeam zari mtakuwa bize na kumpokea mama yenu mtupe updates basi ya mikataba minono ili muendelee kuturusha roho team vijichoView attachment 1087135
Raynavero Mama Sabrina
Camera za bongo zimegoma kum filter
Kumbe kesha zeeka bana sura imekomaa bado kidogo apate makunyanziZimegoma kabisaa, nyingine hiyoView attachment 1088534
Labda joto la daslam limempa makunyanziKumbe kesha zeeka bana sura imekomaa bado kidogo apate makunyanzi
Asante.Zimegoma kabisaa, nyingine hiyoView attachment 1088534
Asante.
Zari ana umri sawa na mama yangu 50yrs na guu the same, I salute you mama zari kubali tukupe heshima. Wachana na mambo ya kujiita am 38, Mara 25 .BTW, tanasha kashafika madale arudi bondeni.