cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Bora hata afanye kazi K yake ipumzike kwa muda.
Kama wewe huna!!!..🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata afanye kazi K yake ipumzike kwa muda.
Umeona eeh ? Kampaisha sana zari mpaka anarudi Tena Tz , chezeya zari weye
Ni nani kakudanganya kuwa warumi ni mdada???Mambo ya Diamond yatakutoa roho mwaka huu wee dada [emoji38]
Ni nani kakudanganya kuwa warumi ni mdada???
Sina nini ?Kama wewe huna!!!..[emoji119]
@warumi Ni mwanamke mkuu juzi hapa kuna watu walimshambulia kua anamtaka Domo akawajibu ye anadate na watu wenye uelewa zaidi ya Domo!Ni nani kakudanganya kuwa warumi ni mdada???
Duh anelalana na nani tena??mtoto mdogo.Kama kutompenda mtu.ni zambi basi silipendi li tukinao, na tabia chafu kulala na watoto wadogo, bureee.
Sijui watoto wake wanajifunza nini kutoka kwake? Nfyuuuuuuuux
Ukizeeka kubali uzeee kha!
Vibenten vingi tu, mtu ana 50yrs ila mambo yake loh!Duh anelalana na nani tena??mtoto mdogo.
Hii sasa chumvi hana hiyo miakaVibenten vingi tu, mtu ana 50yrs ila mambo yake loh!
Inakuwaje Sasa unateseka wewe?Vibenten vingi tu, mtu ana 50yrs ila mambo yake loh!
Yaani wewe upo Tanzania unajali Tabia za watoto wa Zari? Huwalipii ada Wala hutoi mchango wa chakula Sasa unahusika vipi na Tabia zao?Haha kuna watu ni wachawi na hawajijui.. utadhani yeye malaika hapo alipo, worried eti watoto wake wanajifunza nini yeye tabia zake chafu alizonazo kafunzwa na mama yake?
Kama kutompenda mtu.ni zambi basi silipendi li tukinao, na tabia chafu kulala na watoto wadogo, bureee.
Sijui watoto wake wanajifunza nini kutoka kwake? Nfyuuuuuuuux
Ukizeeka kubali uzeee kha!
Tunaomba serikali ya Tz itende haki kwenye hili jambo la Zari Hassan mwenye passport ya South Africa ambae anatarajia kuingia Tanzania siku ya Ijumaa tarehe 3 May 2019. . . Immigration ya Tanzania Huyu mganda mwenye passport ya South Africa ana kibali cha kazi? Anaingiaje Tanzania kufanya kazi bila kibali cha kazi? Immigration kutwa mnashinda kariakoo kukamata wachina mnadai hawana vibali vya kazi huyu Zari je yeye ana kibali cha kazi?Na hii ni tabia yake ya miaka mingi. Cha pili huyu Zari Hassan mwaka jana mwezi wa 9 alizuiliwa immigration ya UK zaidi ya masaa 15 na Baadae akapigwa ban haruhusiwi kukanyaga tena UK, nyinyi kama immigration mnatakiwa muwasiliane na immigraiton ya UK mfatilie.Mfatilieni passport yake ya Kiganda aliyoingia nayo Tz 2 years ago na passport yake ya sasa ya ki South Africa, mtaona umri ni tofauti kabisa. Huyu mtu ni age faker. . . TRA mmewakalia kooni watanzania juu ya kulipa kodi, vijana wa Tanzania hawahemi mnawadai kodi.Mpaka wamachinga mnawadai kodi, je inakuwaje huyu mganda miaka yote anapiga kazi Tz na halipi kodi?Huyu Zari tayari keshakwepa kodi nyingi Tz anatakiwa kufunguliwa kesi ya kukwepa kodi na tena anaonyesha hadharani kazi bila kulipa kodi? Yeye ni nani anafanya kazi Tz bila kulipa kodi na bila kuwa na work permit?Ingefaa mumpigie mahesabu ya kodi za nyuma kama mlivyowapigia Accasia. . . Polisi na TCRA Kutwa Mnakamata watu na kuwafungulia kesi sababu ya matusi ya mitandaoni, juzi kushinda jana Zari kajirekdoi video kabisa anamtukana mtanzania(😉) na mara kwa mara huwa anatukana taifa zima kuwa halijui english mpaka rais wao hajui english.Huyu mtu anadharau mpaka rais hajui english.Huyu mwanamke anasema hadharani kuwa sehemu zake za siri ndo zinampatia mali, anawafundisha nini wadogo zetu? . . TAKUKURU& TRA Hii kampuni ya softcare pia ichukuliwe hatua, inaleta watu nchini wa kufanya kazi bila work permit na wala halipi kodi? Hii sio mara ya kwanza wamemleta huyu bibi kufanya kazi.Wazawa hawana kazi wao wanaleta maforeigner tena bila kufata sheria za nchi. . . Haya na nyie mshikie bango, si mnajua mimi serikali hawanipendi 😂 ila watawasikiliza nyinyi mkipiga kelele za kutosha.Bora aje hata ile misukule ya Tz iweze kumuona maana kuna mingine inadhani ni malaika anayeishi mbinguni, lol
Note; natoa nauli kwa mashabiki wa Zari waliyeko nje ya Dar waende wakamuone Boss wao, just pm me usijali kwa nia njema kabisa.