Zari kutua Tanzania Jumamosi hii ....

Zari kutua Tanzania Jumamosi hii ....

Anawapenda wapumbavu kama kina hamisa sababu ni wajinga
Ukiwa team zari unajifunza maisha na kuwa fighter na kufurahia uhai na maisha ukiwa team mange unajiandaa kuugua uchizi kuwa sadist na kuwa psychopath na kaburi la mapema linakuita kwa stress disorder.
 
Ukiwa team zari unajifunza maisha na kuwa fighter na kufurahia uhai na maisha ukiwa team mange unajiandaa kuugua uchizi kuwa sadist na kuwa psychopath na kaburi la mapema linakuita kwa stress disorder.


Duuh umekandia mpaka basi
 
Team zari mtakuwa bize na kumpokea mama yenu mtupe updates basi ya mikataba minono ili muendelee kuturusha roho team vijicho
20190503_180551.jpeg

Raynavero Mama Sabrina
 
Wafuasi wa mange mazoba yanapelekeshwa tu
Jamani awe balozi mara ngapi?
Na ukishakuwa balozi, si ndio unaanza kuutumikia huo ubalozi kwa activity/event tofauti tofauti.
Ni sawa na waziri, anateuliwa once then kinachobaki ni kuutumikia uwaziri wake.
 
Jamani awe balozi mara ngapi?
Na ukishakuwa balozi, si ndio unaanza kuutumikia huo ubalozi kwa activity/event tofauti tofauti.
Ni sawa na waziri, anateuliwa once then kinachobaki ni kuutumikia uwaziri wake.
Hahahaha nmecheka ahsante
 
Back
Top Bottom