Zari : Mimi sio msagaji

Zari : Mimi sio msagaji

Ivi kwa nini watu wanahisi diamond hawezi kumpa mimba zari? Mwenyewe atakuwa anaumia sana atajiona kama sio mwanaume kamil maana kila mtu ana doubt kuhusu mimba ya zari
Kama binadamu lazima atakua anaumia lakini wala hayamkoseshi usingizi manake wameshamkomaza na kumtia sugu!! Mtu keshaambiw hadi suala la kumrushia jini mama ake mzazi unadhani ataona jipya kwa kuambiwa hana uwezo wa kupiga mimba!!! Katika kumbukumbu zangu, Diamond aliwahi kuja juu kama moto wa kifuuu siku magazeti ya Shigongo yalipoandika kwamba mmoja wa watu wa Diamond anamtia mama ake Diamond!
 
Babu ana ashkimajinun kila ki2 anataka mumsifie kma wema.......ikizeeka ataacha mvumilieni 2
sio babu tuuu ndo mastaa uchwara walivo, kublock na kufuta comments waweza ingia kwa page zao ukahisi anasifiwaga tu kumbe ndo comments anazotaka zionekane
 
sio babu tuuu ndo mastaa uchwara walivo, kublock na kufuta comments waweza ingia kwa page zao ukahisi anasifiwaga tu kumbe ndo comments anazotaka zionekane

Best ulipotelea wapi?kwema lakini huyo babu stress z maisha zinamsumbua kila siku anadai anatengeneza 500thou perwk wakati hata banda lake kashindwa kumalizia
 
Story hii ya miaka mingi hiyooooo ilikuwa ilishapita alipoongelea tulizionaga wengine enzi hizo.

So acheni kupaisha habari zilizopita tafuteni mpya basi tuzisikie tuongelee kama za ukweli au uongo.

Zari yupo juu kila afanyacho mapaparazi umfatiliaga, wa TZ wameanza jana tu tena habari za makombo na udaku maana hawajui kazi zao kusaka wenyewe. huko UG ni kama kawa kwa miaka mingi na uwa wanamsaka yeye sio kama wengine kutafuta attention ili wafatwe.

Na tunaona TZ wanashindwa hawampati kutuletea ya kila siku anayofanya akiwepo nchini hadi wasubiri za udaku wa uongo.
 
Best ulipotelea wapi?kwema lakini huyo babu stress z maisha zinamsumbua kila siku anadai anatengeneza 500thou perwk wakati hata banda lake kashindwa kumalizia
Nipo best...yule jamaa mi nahisi kuna stage aliziruka ujanani ndo anazifidia uzeeni lol
 
Back
Top Bottom