[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi kaokoka!!!Mimi na wewe wote hatuhusiki ..binamu..mbona wajitoa halafu waniacha nduguyo sio poa ujue "" na wewe ndio umenifundisha umbea ""
Wajue pia tofauti kati ya Kunya na kujamba pia!Wajue kutofautisha kati ya kuzidisha na kujumlisha ,wengine makaa ya mawe hatuzimiki haraka
Tunazoa yetu tena wasipoangalia watazoa na yetu
Yangu huipendii binam au kwa vile mme wangu haingii humu sana,binam ntakumwagia mapovu sasa hiviEndelea hivyo hvyo mdogo wangu!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] uliongea siku moja tuu!nilichokaaa nkasema Leo !!!
But wish all the best may Almighty grant u more happiness and joy!
Couple yenu naipenda japo kimya kimya[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji23]
Hamna bhanaa...ni kwa sbbu yeye ni team zari ndio maana hawezi kuwa negative nae[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi kaokoka!!!
Tumechambwaaa hahaha sema roho ngumu tu,nakumbuka mpaka ulisemaga serikali iingilie kati maana zari anazaa mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mrs Van angekuwepo hapa ningemkuta ashachangia huku
haha hahaaNimemaliza kazi lowlife muwe na siku njema mniote usiku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na washukuru tumempumzika tuWajue pia tofauti kati ya Kunya na kujamba pia!
Usingizi na kifoo
Na watazoa kweli mavi yetu
Sisi ni maji usipotunywa utatuogaaaaaa[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Utake usitake utakujaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumechambwaaa hahaha sema roho ngumu tu,nakumbuka mpaka ulisemaga serikali iingilie kati maana zari anazaa mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tushamaliza kazi zamani tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Poleni jaman
Mjitetee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu hujui kiasi gani am happy for u!Yangu huipendii binam au kwa vile mme wangu haingii humu sana,binam ntakumwagia mapovu sasa hivi
Sishindwi kukuchamba halaf baadae tunapatana unaniudhigiiii ngoja nikuwache
Mahondaw alisemwaa mpaka basi,smart wake akafatwa juu kupewa maneno wanaadam pendo la kweli halivunjwi kabisa ,
Mimi sasa binam yako password ya shemejio nnayo nimeblock hakuna mtu kumtumia pm ,na siku mtu akijitumisha ikaja bahati mbaya namjibu mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakojooooooo kwa rahaa
Haya binam twende zetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu hujui kiasi gani am happy for u!
Couple zenye nguvu nazozijua ya kwako,nifah na mahonda pia!!
Nisipoipenda yako ntaipenda ya nani tenaa??
Bibi hongera kila la herii!!
Mimi na wewe hatuchambani tunapeana makavu live!!
Ukubwa tena sasa hivi mambo mengi tunalisongesha ila Leo kama intro tu!Na washukuru tumempumzika tu
Siku hizi
Maji marefu hapa
atapata huu ujumbe kweli?? mtag aje asome au muandikie kule insta
cash madame .."" au sio ""!! haya nyie low life mtuache....hahaaKazi kaziniView attachment 772638