Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ahahahahah nimemuita hajaja kule ray,,mwanamke kajikoboaa anataka kuwapita uzuri wazungukhakhakhaaaaaaa hakii nakugawa!!
Smart911
umemuona Michael Jackson aliefufuka huko Kenya lakini??? tihtihtihtihi ila Mama Sabrina zinamtosha mwenyewe khakhaa
cc Smart911
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo namuonaa jamani loooh!mama Sabrina we mtata wewekhakhakhaaaaaaa hakii nakugawa!!
Smart911
umemuona Michael Jackson aliefufuka huko Kenya lakini??? tihtihtihtihi ila Mama Sabrina zinamtosha mwenyewe khakhaa
cc Smart911
Mmjh!camera 36000 zinadanganyaa!Ahahahahah nimemuita hajaja kule ray,,mwanamke kajikoboaa anataka kuwapita uzuri wazungu
Sawa tumekusikia ila hata mng'aro hana amepaukaaa kafifia. Hiyo pia ni sababu ya Gym? na ulevi juu anapiga masanga ilre mbaya. Chezeya uwa jeusii.Ni ujuha kudhani kuwa mondi amekonda kwaajili ya Zari..Mondi ni mwembamba in nature na kilichomfanya aonekane mnene ni mazoe ya gym ambayo ameyaacha kwa sababu anazozijua mwenyewe kabla hata hajaachana na Zari.
Wakati huo Zari ana mvumilia umalaya wake wanakuwa wana sex kavukavu au kwa kutumia Condoms??? Maana na hii risk ya magonjwa hebu muacheni Zari alee wanae wa 5 kwa Amani. Au mnataka Afe wanae wateseke???
Na katiiii,kusini,magharibi mpk baharini!!Zari oyeeee, kiboko ya masista duu wa Tanzania na africa mashariki
Mwanamke akiwa na watoto wako kurudiana ni 78%. Bora hata mmoja lkn 2+ muda wwte unarudi na atakupokea.atapata huu ujumbe kweli?? mtag aje asome au muandikie kule insta
Word! You have said it all.Exactly. You have said a very important point. Hivi kweli watu walitegemea aendelee kuwa Nasibu huku amejua kabisa Nasibu havai mpira huko anako lala na akina Hamisa? Zari ana watoto 5 kesho kesho kutwa aletewe magonjwa wanae watatu wabaki yatima? Embu muacheni dada wa watu anajielewa sana. Huyo Hamisa anaona ameshiiinda, kwenda kulala na mwanaume na unajua fika analala na mwanamke wake na humwambii avae mpira. Aisee Ukimwi ukianza kuwachota nisisikie eti "Mapenzi ya Mungu". Hakuna cha Mapenzi ya Mungu kama unalala na mwanaume aliye na mwanamke mwingine bila kutumia kinga. Hayo ni Mapenzi yako. Zari akae mbali mnooooooo na Nasibu kama anataka aje aone wajukuu zake akiwa na afya njema.
Wakati huo walipanga kuwazaa Tiffah na NillanWakati huo Zari ana mvumilia umalaya wake wanakuwa wana sex kavukavu au kwa kutumia Condoms??? Maana na hii risk ya magonjwa hebu muacheni Zari alee wanae wa 5 kwa Amani. Au mnataka Afe wanae wateseke???
Na kweli aisee mwanzo alilia watoto. Haya watoto hao kawapa anajifanya kitom..iWakati huo Zari ana mvumilia umalaya wake wanakuwa wana sex kavukavu au kwa kutumia Condoms??? Maana na hii risk ya magonjwa hebu muacheni Zari alee wanae wa 5 kwa Amani. Au mnataka Afe wanae wateseke???