Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Role model wako hatujakataaZari again,role model[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaa nyinyi mnavisa mjue duuuhh USA kunani tenaKumbeee tenaaa makubwaaa Narumuk mimi Us ntaenda mbona na siku nikienda humu mtakojoaa Narumuki utalazwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha weee!!jamani sio kaka angu kweli huyooo!!!Binam we ntakupigia simu na ntaushukuru uongozi wa jf pia,naenda kuukatikia mti wa kingonii
Numbisaaa ndio hivyo mtu akimwaga mboga na ugali unamwaga aliesema malipo hapa hapa unadhan alikosea
Halaf hakuna unaemtetemesha wewe usijioverate mpenzi
Kumbeee alaaa sasa nilivyo na kiburi nisemwe mimi nitingishike roho yangu jabali hakuna wa kunitikisa huu mimi halaf sinaga cha kupoteza sasa si wanijua binam toka kitambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulikua hujui shoga angu!!!ndo yalivyo hayooo!!!!hayaishi hapooo!!!
Leo ntajua binamu mpk chupi yako uliyovaa siku ileeee!! Na yote ya kwako ya humu!!
Binamu ukiachwa achika....Panick at ur own risk!!!!!
Poleeee
Umeukimbia uziBoss lady kashatua jomo kenyatta woyooo
Hahahahaah hapo unapendaahahaa nyinyi mnavisa mjue duuuhh USA kunani tena
Mahonda kawa mpole kweliHaha umelowa povu la nchi gani jamani lol! [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Cc Smart911
View attachment 772607
Jamanii mahondawa wa smart
Sawa kampokee boss wako kafika utafukuzwa kaziLeo utataja yoooteee,mie ndo numby bana
Aende tuu!!sisi hatumtaki tushatua mzigooo wa kuni!!!!Boss lady kashatua jomo kenyatta woyooo
Kwetuuu rahaaaa,,umwage povu halaf huna hata wa kwenda kukuliwaza lazima uote mama sabrina usingiziniMahonda kawa mpole kweli
Hongera kaka smart kwa kweli mi mawaombea tu wafikie agano la Mungu kwa moyo mmoja!
Japo wengine jf wanahisi pa kuja kumalizia hasira za Magu!
Hongera sana!
Role model wako hatujakataa
USA kuna Trump na Obamahahaa nyinyi mnavisa mjue duuuhh USA kunani tena
ndio maana nikakuita ..haya karibu kikaongoni...naona Numby raynavero na mama sabri wanamwagaiana povu.tu "" mimi nimekaa nasubiri kuona povu litakalo nifaa nikufulie ovaroli langu la garagetehteh binafsi Namkubali sana Zari vile tu ndugu yetu nae machachari sana.. Ile lifestyle yake fulani dahhh afu dizaini kama hamaindi kiviile sema midomo ya wa tz ndo nuksi
cc Smart911
Nenda kampokeee shauri lako usije tulilia hapa umefukuzwa kibaruaRole model wa wote humu ndan ya uzi naona hadi picha zake za muda huu mnazitupia tu woyoooooo bosiledi yupo juu
Nenda kampokeee shauri lako usije tulilia hapa umefukuzwa kibarua
Unatuchonganishaa wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio maana nikakuita ..haya karibu kikaongoni...naona Numby na mama sabri wanamwagaiana povu.tu "" mimi nimekaa nasubiri kuona povu litakalo nifaa nikufulie ovaroli langu la garage
Teynaaaaa!!!!sanaa tu!nakuambia ukifanya mchezo utalala na mbwa kaleKwetuuu rahaaaa,,umwage povu halaf huna hata wa kwenda kukuliwaza lazima uote mama sabrina usingizini