Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Kujadili maisha binafsi haizuiliki kwakuwa wao ni big Celebrities...

Tatizo kwa kila utachowaongelea Utawaongelea katika perspective ipi?? maana chuki iktangulia ndio tatizo linapoanza...

Hata katika maisha hayo kuna vya kujadili na visivyo jadiliwa.
Kweli tuanze kuongelea account za watoto? Huu ni upuuzi.
 
Acha ujinga watu tunatafakari vitu vya maana kwa taifa ww unaleta upuuzi humu....
 
Ndo mana utafiti ulionyesha Watanzania IQ zao ni zero kabisa sio kila kitu ushabiki vingine ni ujinga kabisa usio na kichwa wala miguu sasa followers wengi ndo kuwa na pumzi zaidi au. So shame shame grow up
 
Ndo mana utafiti ulionyesha Watanzania IQ zao ni zero kabisa sio kila kitu ushabiki vingine ni ujinga kabisa usio na kichwa wala miguu sasa followers wengi ndo kuwa na pumzi zaidi au. So shame shame grow up

Mbona unatokwa n povu why are you so mad
 
Lowasa anataka kuonana na JK mchana mwenye ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…