matusi ya nini sasa kijana, jibu hoja kistaarabu, kwani wewe una followers wangapi??????????
alisemaHakusema ivyo Ali toa tu Kama taarifa kuwa Leo nimepata mtoto basi
sio wake mtotoKwanza una uhakika mtoto ni wake?
Kwanza una uhakika mtoto ni wake?
mtoto wa ivani yule sema akimkataa atajificha wapi na misifa yakeNamaanisha hana mtoto. Anaweza hata kumuoa akikua
Tatizo nyota
sio safari ndefu tuna hali mbayaAisee vijana wa kitanzania Tuna safari ndefu sana..........
pwilo upo king kiba anatoa lini wimbo mpya
we jamaa kuna siku utaleta mada ya kiba kula ugali na daimond ubwabwa
jamaa kaumbuka peny na jokate walishasemaga daimond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba we unadhani kuna demu atakata kuzaa na daimond wema mwenyewe kahangaika sana ili azae nae hajawahi hata kusingiziwa mtoto hata mmoja kasikilize "nikifa kesho " utanielewa vizuri
mtoto wa ivani yule sema akimkataa atajificha wapi na misifa yake
Wewe Bavicha bila CCM usingepata huu uhuru...
ni yupi sasa? jamaa kasingiziwaMtoto sio huyo kuna kampuni mbili ukiachana n ile ya nguo za kumvalisha mtoto na wanataka kutoa milioni 50 kuna kampuni mbili zinapigania rights ya kuonyesha picha za mtoto deal mezani imewelwa milioni 100
jamaa kaumbuka peny na jokate walishasemaga daimond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba we unadhani kuna demu atakata kuzaa na daimond wema mwenyewe kahangaika sana ili azae nae hajawahi hata kusingiziwa mtoto hata mmoja kasikilize "nikifa kesho " utanielewa vizuri
Wawap wew???Wenzio wanajadili jambo la muhimu(mtoto wa Diamond)we unataka kuwatoa nje ya mada
siku moja haha alikua hawajataka kumuonyesha ila ukweli ndo huoKama una experience na watoto wachanga,utagundua huyo mtoto ulo muweka kwenye hiyo picha ana karibia one wiki wakati mtoto wa chibu ana siku moja tu ha ha ha kuna mengi ya kujadili kuelekea oktoba 25.