Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Namaanisha hana mtoto. Anaweza hata kumuoa akikua
mtoto wa ivani yule sema akimkataa atajificha wapi na misifa yake
3ea288bf0107f270cfe2543003460800.jpg
 
pwilo upo king kiba anatoa lini wimbo mpya
0d9b09a3d07edf361aa87bf0917ad917.jpg
00a7a9e5de668d2a9742406576716cef.jpg
e16d20bf444b7f6b480d16eb65cc0ede.jpg


jamaa kaumbuka peny na jokate walishasemaga daimond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba we unadhani kuna demu atakata kuzaa na daimond wema mwenyewe kahangaika sana ili azae nae hajawahi hata kusingiziwa mtoto hata mmoja kasikilize "nikifa kesho " utanielewa vizuri
 
Last edited by a moderator:
0d9b09a3d07edf361aa87bf0917ad917.jpg
00a7a9e5de668d2a9742406576716cef.jpg
e16d20bf444b7f6b480d16eb65cc0ede.jpg


jamaa kaumbuka peny na jokate walishasemaga daimond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba we unadhani kuna demu atakata kuzaa na daimond wema mwenyewe kahangaika sana ili azae nae hajawahi hata kusingiziwa mtoto hata mmoja kasikilize "nikifa kesho " utanielewa vizuri

Mtoto sio huyo kuna kampuni mbili ukiachana n ile ya nguo za kumvalisha mtoto na wanataka kutoa milioni 50 kuna kampuni mbili zinapigania rights ya kuonyesha picha za mtoto deal mezani imewelwa milioni 100
 
Mtoto sio huyo kuna kampuni mbili ukiachana n ile ya nguo za kumvalisha mtoto na wanataka kutoa milioni 50 kuna kampuni mbili zinapigania rights ya kuonyesha picha za mtoto deal mezani imewelwa milioni 100
ni yupi sasa? jamaa kasingiziwa
 
0d9b09a3d07edf361aa87bf0917ad917.jpg
00a7a9e5de668d2a9742406576716cef.jpg
e16d20bf444b7f6b480d16eb65cc0ede.jpg


jamaa kaumbuka peny na jokate walishasemaga daimond hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba we unadhani kuna demu atakata kuzaa na daimond wema mwenyewe kahangaika sana ili azae nae hajawahi hata kusingiziwa mtoto hata mmoja kasikilize "nikifa kesho " utanielewa vizuri

Kama una experience na watoto wachanga,utagundua huyo mtoto ulo muweka kwenye hiyo picha ana karibia one wiki wakati mtoto wa chibu ana siku moja tu ha ha ha kuna mengi ya kujadili kuelekea oktoba 25.
 
jamaa anaiga kanye na kim wale wanaingiza mpunga mrefu sana
 
Wawap wew???Wenzio wanajadili jambo la muhimu(mtoto wa Diamond)we unataka kuwatoa nje ya mada

Kumjadil mtt wa diamond nd jambo la umuhim?labda kwako coz mi naona ni umbea tu
 
Kama una experience na watoto wachanga,utagundua huyo mtoto ulo muweka kwenye hiyo picha ana karibia one wiki wakati mtoto wa chibu ana siku moja tu ha ha ha kuna mengi ya kujadili kuelekea oktoba 25.
siku moja haha alikua hawajataka kumuonyesha ila ukweli ndo huo
 
Back
Top Bottom