BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hahhaa..wacha wewe hakuna kitu kama hicho...Na picha 4 za mtoto nimerushiwa na mfanya kazi wa hapo agakhan mwenye buku ten
Tuwapeleke kwenye duka la malimao mkuu nimeona wengi mtu akitoa thread inayohusu baba tiffah basi mapovu yanawatokaEeeh mbona mkali ivyo😕
Nimekasirishwa na prof. Kuachia ngazi hadi basi anapunguza nguvu za ukawa
Nimekasirishwa na prof. Kuachia ngazi hadi basi anapunguza nguvu za ukawa
Jaman mbona mapovu yanawatoka ?? Au wivu ?? Sasa mambo ya ccm na mambo ya kua na akili ndogo siyaoni msingi wake hapa..ndo mana jf kuna majukwaa tofauti kama wewe unajiona uko kwenye jukwaa la kisiasa ama mengine basi nenda huko ..hili jukwaa ni la celebrities na entertainment ndo mana post zinazotolewa ni za aina hio..sasa mtu ametoa Uzi wake basi mtu sjui roho mbaya tu kama ya kutu anatokwa povu utafikiri imemkost life yake kusoma hii thread...acheni hizo..
ngoja waje team kimba waanze kupost siasa hapa
Nasikia hayupo nchini tihiitihii
Kwanza una uhakika mtoto ni wake?
Sasa na yeye ataona uchungu wa yale aliyowafanyia watoto wa watu
wewe ndio mjinga wa kupindukia una wivu wa kishenzi hii ni media ya watu wote usolipenda kaa kimya wapo wanaopenda usilazimishe kila mtu kuwa na hobby kama za kwako swinekila napoona ujinga kama huu ndio nazidi kujuta ilikuwaje wazazi wakaishi nchi ya wajinga kama mtoa mada hii, mpaka nimezaliwa nchi hii, sioni fahari kabisa kuzaliwa nchi kama hii
Mkuu achana nae huyo kavurugwa tu akimbie nchi basi tujue moja au tumpe malimao alewewe ndio mjinga wa kupindukia una wivu wa kishenzi hii ni media ya watu wote usolipenda kaa kimya wapo wanaopenda usilazimishe kila mtu kuwa na hobby kama za kwako swine