Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Nimekasirishwa na prof. Kuachia ngazi hadi basi anapunguza nguvu za ukawa

Kwa hali ilivyo sasa, na watanzania walivyoamka hajapunguza chochote, zaidi amezidi kuongeza nguvu na kufanya watanzania waanze kufuatilia kwa karibu sana michakato inavyoendelea na kadri watanzania wanavyofuatilia kwa karibu ndivyo CCM inavyozidi kupoteza mvuto siku hadi siku.
 
hah hah hah hah jf bana watu washatibua uzi wa mwenzao kweli kuna kipindi habari flan hazina mashiko kwa jamii
 
Jamani nendeni kwenye majukwaa ya siasa sio hapa hamjaitwa ...stress zenu za siasa na akina lipumba ...kwanza mjue hayo ndo magoli ya mkono ya ccm ...mfyuuz
 
Hahaahahhaha thread imevurugwa balaaa. Siasa na celebrity wapi na wapi.

Mtoa mada pole mkuu watu wanaonekana unawaboa.
 
Jaman mbona mapovu yanawatoka ?? Au wivu ?? Sasa mambo ya ccm na mambo ya kua na akili ndogo siyaoni msingi wake hapa..ndo mana jf kuna majukwaa tofauti kama wewe unajiona uko kwenye jukwaa la kisiasa ama mengine basi nenda huko ..hili jukwaa ni la celebrities na entertainment ndo mana post zinazotolewa ni za aina hio..sasa mtu ametoa Uzi wake basi mtu sjui roho mbaya tu kama ya kutu anatokwa povu utafikiri imemkost life yake kusoma hii thread...acheni hizo..

wazoee tu mkuu
 
Kwanza una uhakika mtoto ni wake?

hatuna uhakika kama mtoto ni wake kama ambavyo tusivyokuwa na uhakika na wewe huyo unayemuitaga baba ndio aliyetoa mbegu iliyotunga mimba yako. naona mmeshikia sana bango hili swala, anza kuwaza wewe kwanza huyo umuitaye baba ni kweli baba yako??? jibu ni kwamba huna uhakika.
 
Tiffany Dangote mtoto wa Diamond anaonekana Ana kubalika kuliko kuliko lowassa katika mtandao wa Instagram kwa kupata followers wengi ndani ya siku mbili tu as u know numbers do not lair.
 

Attachments

  • Screenshot_2015-08-07-15-29-31.png
    Screenshot_2015-08-07-15-29-31.png
    29.3 KB · Views: 421
  • Screenshot_2015-08-07-15-34-43.png
    Screenshot_2015-08-07-15-34-43.png
    44 KB · Views: 416
duu! ni mwendo wa kunyooka tu..thamani ya diamond inakua cku hadi cku...Mungu amkuzie tifa tifa.
 
kila napoona ujinga kama huu ndio nazidi kujuta ilikuwaje wazazi wakaishi nchi ya wajinga kama mtoa mada hii, mpaka nimezaliwa nchi hii, sioni fahari kabisa kuzaliwa nchi kama hii
wewe ndio mjinga wa kupindukia una wivu wa kishenzi hii ni media ya watu wote usolipenda kaa kimya wapo wanaopenda usilazimishe kila mtu kuwa na hobby kama za kwako swine
 
wewe ndio mjinga wa kupindukia una wivu wa kishenzi hii ni media ya watu wote usolipenda kaa kimya wapo wanaopenda usilazimishe kila mtu kuwa na hobby kama za kwako swine
Mkuu achana nae huyo kavurugwa tu akimbie nchi basi tujue moja au tumpe malimao ale
 
Back
Top Bottom