Hakuna mtoto wa uzinzi. Ndoa ni mipango ya mtu huwezi kuoa kama nafsi yake haijakubali Ila mtoto anakuja kwa mapenzi ya mungu no matter amekuja kipindi gani. So far hizi dini na historia ya afrika ni mambo mawili tofauti sana.
Kamata fursa haa haa haaMie kuna sehem nimekoment nifolow kuweza kujionea picha za Princess Tiffa
Dangote ..nimekuta request kibao hapa nikituliia nianze kuwa add
kumbe ndo wewe
Tatizo nyota
hawa watu wanajua kutafuta PESA.....
sishangai wakianza kutengeneza pesa kupitia account ya huyo mtoto....
kule marekani picha ya mazishi ya mtoto wa whitney imeuzwa kwa bei ghali sana....
Shark ni mie dada wa jamiiforum..eee, leo nimefurahi bahati mbaya sipo mjini nipo natalii talii.
Congrats sana mingi mingi wazazi
Nakumbuka mzurimie katika kutetea maneno ya watu juu ya Diamond huyo sio mwanae aliwekaga mahesabu na makadirio ya tangu walipokutana na kuhesabia kuwa mtoto atazaliwa tarehe 8 August 2015 na imetimia alisema kuna +2 and -2 weeks kwa due dates za wamama. So ni siku 2 kweli mdada huyu ni shabiki wa kweliiiii, big up.