Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,455
Hakuna mtoto wa uzinzi. Ndoa ni mipango ya mtu huwezi kuoa kama nafsi yake haijakubali Ila mtoto anakuja kwa mapenzi ya mungu no matter amekuja kipindi gani. So far hizi dini na historia ya afrika ni mambo mawili tofauti sana.
Mzinzi bwana, anapaka rangi, haya hakuna mtoto wa uzinzi

