Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Hongera Diamond & Zari.
kuna mwenye picha inayoonesha picha ya huyo Tifah?
 
Hatimaye staa wa bongo Nassibu Abdul (Diamond) awa baba baada ya mchumba wake Zari kujifungua mtoto wa kike asubuhi hii.

====

View attachment 273932

View attachment 273928View attachment 273929
View attachment 273931

====



Mungu ana makusudi makubwa sana, kwanza hongera kwake pili asubiri na yeye wakti ukifika ashuhudie binti yake anavyomanuliwamanuliwa kama alivyokuwa.akiwafanya mabinti wa wenzake.

Ukiuwa kwa upanga na utakufa kwa upanga. Nadhani sasa maneno ya hovyo kwa jinsia ya kike yatakoma.
 
Baby tiffah
 

Attachments

  • 1438964261000.jpg
    1438964261000.jpg
    18.9 KB · Views: 377
NO HARD FEELINGS

Baada ya kunyanyasa game ya social media kwa almost 20 years,the self proclaimed king of all bongo social media,kapata mpinzani wa hali ya juu,ambaye anaonekana hana mpango wa kupunguza kabisa spidi,Latiffa Abdul Naseeb.

Moja ya changamoto atakayoipata Le Mutuz,ni kuhusu suala la IG followers,Le Mutuz katika IG amehangaika sana kufikisha followers 100k,akitumia mbinu mbalimbali,kama kuishi fake lifestyle akijidai ni under 18,akipost picha za mabebezz super mtindizz wakati ni mzee wa miaka 56,yaani yeye na LOwassa tofauti yao ni miaka 6 tu,wakati mtoto wa siku 2 katumia siku moja kufikisha followers 50k.

Suala lingine ambalo binti mdogo Latiffa ameonesha yeye ni queen kwenye hii game ya social media ni baada ya kupata endorsement ya milioni 50 kutoka maduka ya BABY SHOP wakati Le Mutuz akiendelea kupewa simu za huawei Y330 kutoka tigo kama pongezi ya mchango wake kwenye social media.

Inabidi Le Mutuzz ajipange sana linapokuja suala la kuwa king maana usipoangalia utakuwa queen katika hii dunia iliyojaa surprises za kila namna kama hii iliyotokea siku hizi mbili na suala lingine inabidi upunguze kublock watu wanaokupinga ili husikose hata hawa wachache ulionao,maana unablock sana watu wanaopinga uelewa wako.
 
nipo nimefurahi sana leo naishi instagram, umenikumbusha enzi za nyuzi za kujibishana na wagumu ila watanyooka tu....itabidi nianzishe somo la kuhesabu siku za kutegemea watoto kutokana na makutano ya kwanza...

leo ni furaha sana

ila duniani watu wivu hadi wanatukana mtoto, Mungu atawajibu hapa hapa duniani. wanatia kichefuchefu

Hebu nihesabie manake hawa madaktari siwaelewi.
Nilijua atazaliwa na wa Zari
. mzurimie
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha hivi kuna mtu ana followers zaidi ya laki moja lakini sio maarufu? nitajieni
 
Back
Top Bottom