Zari na Diamond wategemea kupata mtoto mwingine

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,575

Good news kwa Diamond platnumz na mpenzi wake Zari wamezichukua Headlines leo June 23 2016 kupitia kituo kikubwa cha kimataifa MTV Base wameripoti kuhusu kuwa wawili hao kutarajia kupata mtoto wa pili baada ya mtoto wao wa kwanza Tiffah.



Nimekuwekea video hii hapa chini Mtu wangu…
 
Mbona tulisikia kuwa Mondi kadata na alikuwa anataka bibie aichomoe? Pongezi kwa boss lady kwa kuwa mwanamke imara ili kulinda uhai wa kiumbe kisicho na hatia!
 
Mbona tulisikia kuwa Mondi kadata na alikuwa anataka bibie aichomoe? Pongezi kwa boss lady kwa kuwa mwanamke imara ili kulinda uhai wa kiumbe kisicho na hatia!
Magazeti ya shigongo ndiyo yalisema habar zakuichomoa kutoka katika chanzo chao chakuaminika we uliamini?
 
Mbona tulisikia kuwa Mondi kadata na alikuwa anataka bibie aichomoe? Pongezi kwa boss lady kwa kuwa mwanamke imara ili kulinda uhai wa kiumbe kisicho na hatia!
Yaani na wewe uliamini kabisa kwamba Diamond alitaka mimba itolewe?!
 
Hata mimi ningekua Zari nigezaa tu m,diamond anavyojua kupetipeti ,kusafiri wote ,kula bat pamoja naachaje kuzaa,zari zaa mwaegoo
Dinazarde nimekumiss hadi upendo umepungua. umejificha sana. karibu sato
 
Akili za kiafrika akipata hela kidogo tu yeye anawaza kuzaliana.
Zali katoto bado hata hakaja komaa vizuri tayari amepewa mimba nyingine.
Inamaana yeye hata uzazi wa mpango haujui inamaana kila mwaka atakuwa anazaa tu.
 
Akili za kiafrika akipata hela kidogo tu yeye anawaza kuzaliana.
Zali katoto bado hata hakaja komaa vizuri tayari amepewa mimba nyingine.
Inamaana yeye hata uzazi wa mpango haujui inamaana kila mwaka atakuwa anazaa tu.
Sasa kama hela ipo na mwanamke mwenye umri umeenda wafanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…