Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Sana. Ni mwanamke mwerevu sana. Kachukua umaarufu kautendea haki,anapata matangazo. Kwa sasa anajulikana kabisa. Sio kama w.sepeng,umaarufu wanapiga nao picha
Wema tatizo kichwani ni empty set, tofauti na zari ana ka exposure flani na anajua ku grab different opportunities
 
Ukimuona tu usoni you can understand anapitia jambo ambalo wengine hawaelewi
Huo ni mtazamo wako,bt kijana kwa age yake bado sana kuoa,kapata pesa akiwa mdogo wadada 24hrs wako wanamvizia.
Field yng vijana age yake wakipata hela kila papa atapita nalo ndio umri mbaya....wengi wanaishiwa mifano nayo mingi
 
Huo ni mtazamo wako,bt kijana kwa age yake bado sana kuoa,kapata pesa akiwa mdogo wadada 24hrs wako wanamvizia.
Field yng vijana age yake wakipata hela kila papa atapita nalo ndio umri mbaya....wengi wanaishiwa mifano nayo mingi
Shida si kuoa au hela ukimwangalia tu usoni ka unajua saikilojia usoni unaweza ku understand Kuna kitu hakiko sawa
 
Hapana aisee. Tifa hata kama ni mdogo still ni msichana uncle wake hawezi mpeleka washroom. Wale ni watoto huwez wapeleka kama mzigo tu isitoshe unavuka nchi sio kama unatoka ilala unaenda temeke. Mimi kama mama sishangai zari kuwaleta watoto wake nchini.

Camera zenyewe ndio zina shobo kama mtu ukiamua ku mind your own business zari atatrend saa ngap.
[emoji108]kabisaaa
 
Na tutamcheka kweli afiche hivo hivo nyanga'au yule, alivyokuwa anamtenda mtoto wa watu Zari? Alifikiri hana roho?

Acha yamkute[emoji848][emoji57]
Kwanza toka lini ukewenza mrefu kama sindano ya mtumba ukadumu? Eti mke wa tatu,nyoooo[emoji15][emoji15][emoji849]..
[emoji23][emoji23]
 
Wema tatizo kichwani ni empty set, tofauti na zari ana ka exposure flani na anajua ku grab different opportunities

Umeona wema hayo mahojiano na kina juma lokole na martha?
 
Huyo diamond namuonaga boya tu, mwambieni aendelee kufanya skendo ili atrend bongo nyoso huku wenzie akina davido wakipiga kazi na kufanya kolabo na Niki minaj
 
Huyo diamond namuonaga boya tu, mwambieni aendelee kufanya skendo ili atrend bongo nyoso huku wenzie akina davido wakipiga kazi na kufanya kolabo na Niki minaj
kwa hyo diamond kutembelewa na familia Yale ni kufanya kiki..,.?
Afu nan kakwambia Diamond hafanyi kazi...?,🚶🚶🚶🚶
 
Back
Top Bottom