Uchawi umeisha,akili zimeanza kuwarudiaPresha ya nini binamu? Si anawaleta watoto kwa baba yao Jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi umeisha,akili zimeanza kuwarudiaPresha ya nini binamu? Si anawaleta watoto kwa baba yao Jamani
Huwa najiuliza wewe ni ke au me? Kama ke umeolewa na wewe una familia? Kama ni me na wewe umeoa na unaleta mkate wa kila siku nyumbani? Dunia hii raha, wengine wanaishi kwa kuandika mambo ya watu...Zari the Bosslady kashatua mjini, swali je atafikia Mbezi Beach kwa domo au hotelini?
View attachment 1620085View attachment 1620086
Sana. Ni mwanamke mwerevu sana. Amechukua umaatufu,then ameutendea haki,anapata matangazo mazuri tu yenye hela. Sio kama akina w.sepenga,wamepata umaarufu wanauza nao sura tuNa ndio maana imebidi tu arudi kwa Diamond licha ya kupigwa matukio na yeye karudi kisa umaarufu tu basi hapo, uzuri yeye huwa mjanja hupata ma deal makubwa
Sana. Ni mwanamke mwerevu sana. Kachukua umaarufu kautendea haki,anapata matangazo. Kwa sasa anajulikana kabisa. Sio kama w.sepeng,umaarufu wanapiga nao pichaNa ndio maana imebidi tu arudi kwa Diamond licha ya kupigwa matukio na yeye karudi kisa umaarufu tu basi hapo, uzuri yeye huwa mjanja hupata ma deal makubwa
Hakuna hiyo. Diamond hata bila zari,tayari nyota yake ilikuwa juu na bila zari bado alikuwa juu na angeendelea kuwa juu kama alivyo sasa. Zari ukiachilia bongo hata zingine za Afrika alikuwa hajulikani kabisa. Amekuja kuwika baada kukutana Mond. Habari ndio hiyoKampa kiki au wamepeana. Diamond kafanya mangapi na hamna hata aliyekua na time naye. Check alivyokuja zari kila kona ni wao tu. Wale nyota zao zinang'aa wakiwa pamoja. Habari ndio hiyo
Hakuna hiyo. Diamond hata bila zari,tayari nyota yake ilikuwa juu na bila zari bado alikuwa juu na angeendelea kuwa juu kama alivyo sasa. Zari ukiachilia bongo hata zingine za Afrika alikuwa hajulikani kabisa. Amekuja kuwika baada kukutana Mond. Habari ndio hiyo
Wamepeana kiki.Hakuna hiyo. Diamond hata bila zari,tayari nyota yake ilikuwa juu na bila zari bado alikuwa juu na angeendelea kuwa juu kama alivyo sasa. Zari ukiachilia bongo hata zingine za Afrika alikuwa hajulikani kabisa. Amekuja kuwika baada kukutana Mond. Habari ndio hiyo
Kama wema mng'arishaji mbona hang'ai peke yake?Wema ndio apewe credit ndio alimng’arisha na diamond na sio zari zari ka kura dai kawa maarufu kitambo
Alivyoachwa zari akapotea,umaarufu wa zari anategemea daimond
Mimi mars😶😶😂😂😂😂😂Kingbae
Usemi huu mbaya domo?Guys zari nampenda sana. Ni mwanamke shipavu. Na alimpa domo heshima kubwa sana. Kama wamemaliza ugomvi wao basi furaha yangu ipo juu sana, nlikuwa natamani sana chibu warudiane na huyu mama.
wanawake ndo zenu kupeleka watoto kwa Baba yao kumbe mmekumbuka Mkuyenge, mmeu miss vibaya sana. hapo Mondi akisema mama geuka!! lete papuchi! atamnyimaa? halafu huwaga mnajiswafiiiiiSijui ni akili yangu ama?? Naona zari hajakosea kuwaleta watt wake kwa baba yao. Na huwez kuwaleta nikaondoka ama ukawa hotelin ikiwa wanakuja kwa baba yao. No ngumu sana kumleta mtt kwa baba day utakaa hotelin wakati nyumban wapo where they can feel comfortable and have their freedom. WAtu wanadhani anatafuta kuongelewa vipu kwan tika aachane na chibu hajaishi maisha bora zaidi?
Au sio?Wamepeana kiki.
Best nuru inaletwa na mahusiano?Mwishowe waje wamuue kwa pressure maana tangu aanze drama na zari kina mobeto Hadi tanasha diamond Hana nuru kabisa usoni, mahusiano huwa ni mwiba mchungu
🤣🤣Basichana sijui mabinti.. wasiofahamu.. ya mapenzi.. utawajuwa tu.. kama hamuwezi kubaweka wanaume kwa mikono.. hamushangazi kumchambua mwanamke.. eti Diamond hamupendi... shooo. kama hampendwi nyie.. mumfikiri kuona kamkumbatia muda yote ndio kuonyesha kupenda.. acheni wivu.. mukamate wenu mupendweeeee.. ila mumeshushuka wengi humu.. eti mikono.. kwani mtu hanenepi!!!! kutofautisha picha ya miezi nyuma na sasa.. ni wivu tu... nabapa pole nyinyi..
[emoji23][emoji23] Sister la kikongo hilo[emoji1787][emoji1787]
Kuna mtu aliwahi kunijia pembeni akaniuliza kama Coco ni Mcongo.
Mi sijui kwa nini alikuja kuniuliza mimi.
Wewe mkimbizi toka burundi,hakuna mtanzania anachapia hizi...ccm imejaa wakimbiziBasichana sijui mabinti.. wasiofahamu.. ya mapenzi.. utawajuwa tu.. kama hamuwezi kubaweka wanaume kwa mikono.. hamushangazi kumchambua mwanamke.. eti Diamond hamupendi... shooo. kama hampendwi nyie.. mumfikiri kuona kamkumbatia muda yote ndio kuonyesha kupenda.. acheni wivu.. mukamate wenu mupendweeeee.. ila mumeshushuka wengi humu.. eti mikono.. kwani mtu hanenepi!!!! kutofautisha picha ya miezi nyuma na sasa.. ni wivu tu... nabapa pole nyinyi..
[emoji16][emoji16][emoji16]hiyo type ya nkurunzinza kitambo[emoji1787][emoji1787]
Kuna mtu aliwahi kunijia pembeni akaniuliza kama Coco ni Mcongo.
Mi sijui kwa nini alikuja kuniuliza mimi.
Ukimuona tu usoni you can understand anapitia jambo ambalo wengine hawaelewiBest nuru inaletwa na mahusiano?