Wema tatizo kichwani ni empty set, tofauti na zari ana ka exposure flani na anajua ku grab different opportunitiesSana. Ni mwanamke mwerevu sana. Kachukua umaarufu kautendea haki,anapata matangazo. Kwa sasa anajulikana kabisa. Sio kama w.sepeng,umaarufu wanapiga nao picha
Huo ni mtazamo wako,bt kijana kwa age yake bado sana kuoa,kapata pesa akiwa mdogo wadada 24hrs wako wanamvizia.Ukimuona tu usoni you can understand anapitia jambo ambalo wengine hawaelewi
Ulikuwa hujui?Best nuru inaletwa na mahusiano?
Nuru huletwa na furaha ya moyo,inaweza kua mafanikio,mapenzi etcUlikuwa hujui?
Shida si kuoa au hela ukimwangalia tu usoni ka unajua saikilojia usoni unaweza ku understand Kuna kitu hakiko sawaHuo ni mtazamo wako,bt kijana kwa age yake bado sana kuoa,kapata pesa akiwa mdogo wadada 24hrs wako wanamvizia.
Field yng vijana age yake wakipata hela kila papa atapita nalo ndio umri mbaya....wengi wanaishiwa mifano nayo mingi
Hawezi kuzaa umri umezidi kwenda..halafu ni mke wa mtu huko south(japo sijawahi amini hii)Shida umaarufu ni mubaya zari atategesha mimba nyingine kabisa huyu ili aongelewe
Hyo ya king bae ilikuwa fake kumuumiza diamond hajaolewa Wala nini?Hawezi kuzaa umri umezidi kwenda..halafu ni mke wa mtu huko south(japo sijawahi amini hii)
[emoji23]Ila diamond akiwa na zari aliheshimika walikuwa power couple.
Hafu Diamond baada ya kuachana nazari namichepuko ika msusa kabisa wakawa wa hovyo hovyo
Siku ukiwa na mtu serious unashangaa wanajitokeza wengi, siku ukiwa single hupati mtu sijui tatizo huwa nini?[emoji23]
Tena wadogo hivyo? Na sio mkoa labda ni nchi moja kwenda nyingine?Wewe unaweza watuma watoto wako kweli?[emoji849]
[emoji108]kabisaaaHapana aisee. Tifa hata kama ni mdogo still ni msichana uncle wake hawezi mpeleka washroom. Wale ni watoto huwez wapeleka kama mzigo tu isitoshe unavuka nchi sio kama unatoka ilala unaenda temeke. Mimi kama mama sishangai zari kuwaleta watoto wake nchini.
Camera zenyewe ndio zina shobo kama mtu ukiamua ku mind your own business zari atatrend saa ngap.
[emoji23][emoji23]Na tutamcheka kweli afiche hivo hivo nyanga'au yule, alivyokuwa anamtenda mtoto wa watu Zari? Alifikiri hana roho?
Acha yamkute[emoji848][emoji57]
Kwanza toka lini ukewenza mrefu kama sindano ya mtumba ukadumu? Eti mke wa tatu,nyoooo[emoji15][emoji15][emoji849]..
Cheed na Killy wanaachia ngoma usisahau kuiposti kama ulivyokuwa unafanyaga zamani.
Hawezi kuzaa umri umezidi kwenda..halafu ni mke wa mtu huko south(japo sijawahi amini hii)
Si ndo apoo..njia ya muongo ni fupiKaolewa aje kwa nyumba ya babydady ajiachie [emoji23][emoji23][emoji23]
Wema tatizo kichwani ni empty set, tofauti na zari ana ka exposure flani na anajua ku grab different opportunities
Nimeyaona huyo wema kabaki zilipendwa hafu anaongea hayo zari akiwa huku ili iweje ka sikutaka kiki?Umeona wema hayo mahojiano na kina juma lokole na martha?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeyaona huyo wema kabaki zilipendwa hafu anaongea hayo zari akiwa huku ili iweje ka sikutaka kiki?
kwa hyo diamond kutembelewa na familia Yale ni kufanya kiki..,.?Huyo diamond namuonaga boya tu, mwambieni aendelee kufanya skendo ili atrend bongo nyoso huku wenzie akina davido wakipiga kazi na kufanya kolabo na Niki minaj