herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
Imani yangu wale wote wanaomuita Diamond domo ndio wale walokuwa wakisema kaoa bibi leo wameachana wanamuona zari ni mzuri kuliko alivyokuwaHii picha imenirudisha mbea mimi mjengoni kwa kweli , mama tukinao kajua kudamshi bhana aiseh , she looks so fine n clean , nikianza maneno mengi ntaaribu[emoji16]...
Btw wacha tusubiri baby shower ya new upcoming mother in town , maana sio kwa mbwe mbwe hizo instagram , utadhan domo ndo mtoto wake wa kwanza, mxieew
View attachment 1183956View attachment 1183957
ni kama 28 hvHivi huyu mama ana miaka mingapi?
Keshazeeka huyu hana chake.Hii picha imenirudisha mbea mimi mjengoni kwa kweli , mama tukinao kajua kudamshi bhana aiseh , she looks so fine n clean , nikianza maneno mengi ntaaribu[emoji16]...
Btw wacha tusubiri baby shower ya new upcoming mother in town , maana sio kwa mbwe mbwe hizo instagram , utadhan domo ndo mtoto wake wa kwanza, mxieew
View attachment 1183956View attachment 1183957
zari alitaka amfunike Tanasha maana same day kaachia baby shower nae same day kaachia picha za kupendeza kiukweli Zari umri umeenda kwa Diamond amuachie Tanasha ndio umri wake
NakaziaHata kwa Ivan watu walisema hivyo. Mapenzi yakiisha yameisha. Msijitese kulazimisha kukomba asali iliyogeuka shubiri
27Hivi huyu mama ana miaka mingapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bundle unaninunulia wewe? Mxiee , usinipangie cha kupost mbwa wewe
Wabongo utawaweza basiMmh!!! Haya mengine sasa mnamuonea mama wa watu mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Zari alienda kwenye sherehe ya mdogo wake nadhani ni kama tunavyofanya send off huku kwetu sasa hayo ya baby shower aliyajua wapi na ninavyojua mimi sherehe kama sendoff huwa zina maandalizi ya muda mrefu
Hiv unaga story nyingine kila siku wewe ni zari tu kila Uzi wa zari lazima ufunguwe wewe.
πππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£Bundle unaninunulia wewe? Mxiee , usinipangie cha kupost mbwa wewe
zari alitaka amfunike Tanasha maana same day kaachia baby shower nae same day kaachia picha za kupendeza kiukweli Zari umri umeenda kwa Diamond amuachie Tanasha ndio umri wake
Keshazeeka huyu hana chake.
Anatumia nguvu nyingi kushindana na damu changa.
Mwambie atulie ili apate heshima yake
Hivi huyu mama ana miaka mingapi?
Nani kakwambia ni ujauzito wake wa kwanza?Tanasha ni mwanae wa kwanza. Mtu kama sio mama huwezi elewa kipindi inakuwaje unapokuwa na ujauzito wa kwanza. Mimi kama mama namuelewa Tanasha.
And unnecessaryShe looks fine, the belt was inappropriate.