Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kwani umeona nini...au umeelewaje?nini cha ajabu duniani kama ni kweli kinafanyika?Sihitaji ushauri wakoKumbuka siyo vizuri kuwawema vibaya wazazi hata kama siyo wako. Wenzako wamechangia kwa hekima wakionyesha hisia kwa kutumia lugha ya staha.
Tuendelee kuchangia lakini tulinde heshima za wazazi wetu. Ni ushauri tu.
Ulianza vibaya ila hongera umemalizia vizuriLile domo la tifa lilivyo kubwa vile na kulegea ka la babake limewanyamazsha wengi..Oohh diamond hazai.Hana uwezo wa kumpa mimba...tunataka dna"huu wimbo sijui uliishia wapi?
Kadri mtoto anavyokua anawaumbua mashangingi wanabaki roho zinauma.
Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni.
Mama wa staa mwenye jina kubwa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ amedaiwa kufanya kufuru ya aina yake kwa kununua mtaa mzima, Tandale-Uzuri jijini Dar na kuikarabati nyumba yake aliyokuwa akiishi zamani kwa kutumia takriban shilingi milioni 100.
MAMA YAKE DIAMOND AFANYA KUFURU HII ~ Blogu ya Wananchi
What's your problem then!!bora huyu anaezaa kuliko hao dadazako wanaoshusha engine kila mwezi !Hivi seriously mamake domo kaafiki domo atoke na mmama wenye watoto wa3. Hivi katika maisha ya kawaida inaingia akilini?
Au kuna kitu nyuma ya pazia maana naona madogo wa WCB ni full kutembea na midada iliyotembea kilometres za kutosha. Na huyu rich mavoko sijui ataenda kwa madam benchmark
Nitangulie kuomba radhi,hivi huyo Zari ni Mwanamke au Mwanaume? kumbe nini basi cha kushangaza mwanamke awapo mjamzito hilo nalo ni la kushikia bango kweli?!!!!Mama Nasibu Athibitisha kwa Maneno haya
Muda si mrefu sana toka Zari na Diamond Platnumz wamepata mtoto wao wa kwanza kwa jina TIFFA
Kupitia mtandao wa Instagram Mama wa Diamond Platnumz amepost picha ya pamoja akiwa na Diamond Platnumzpamoja na Zari na kuandika "ETI MAMA .K...".
Zari ni Mjamzito tena!!! Mama Nasibu Athibitisha kwa Maneno haya | MISHE MISHE BLOG
Tunatumia majina na avatar za bandia lakini tukumbuke matusi tunayo watukana wazazi wetu yanakuwa halisi.Kumbuka siyo vizuri kuwawema vibaya wazazi hata kama siyo wako. Wenzako wamechangia kwa hekima wakionyesha hisia kwa kutumia lugha ya staha.
Tuendelee kuchangia lakini tulinde heshima za wazazi wetu. Ni ushauri tu.
Hahaha duhHawa watoto na mimba za kuwekwa humu JF mi naona kama wote tunagharimia, maana tunalipia bundle na WiFi zetu kila mwezi.
Diamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
We huyo mama ni mtu mzima sana Esma si ndo 1st born na ana kitu ka 33.Mama Diamond sidhani kama ni mkubwa kihivyo, ila sura yake naona ndio kidogo ina utata. Kwani Diamond si ndio mwanae wa kwanza au? Huyu mama kafika 50 kweli?? shida kakauka sana ndio maana anaonekana mzee, kama Mwanae tu, si mnamuona Diamond hajafika 30 na pesa alizonazo lakini utadhani yuko late 30s, kuna watu wana miili haina shukrani.