Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
una namba yake ya simu?Wacha mama 'ale ujana'. Duniani ukishaondoka, hakunaga kurudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una namba yake ya simu?Wacha mama 'ale ujana'. Duniani ukishaondoka, hakunaga kurudi.
Well said UsedcountrynewpipoDiamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
Wacha mama 'ale ujana'. Duniani ukishaondoka, hakunaga kurudi.
haiwezekani asilaniKama hukupata nafasi ya kufurahia maisha aka|kula bata ujanani na mwanao akaja kuleta 'good life' ukiwa umechoka unataka kusema hata maji ya chupa utayakataa?
Well said Usedcountrynewpipo
Ninavyosikia mama'ke hajaafiki na ndio maana kunafigisu figisu za Mama DIAMOND kumtaka amuache Zari ili DIAMOND akuoe wewe binti bado m'bichi kabisa hata mtoto hujazaa.Hivi seriously mamake domo kaafiki domo atoke na mmama wenye watoto wa3. Hivi katika maisha ya kawaida inaingia akilini?
Au kuna kitu nyuma ya pazia maana naona WCB ni full midada iliyotembea kilometres za kutosha.
hapa umesahau kuweka hashtag tu
Hili nalo neno,nisamehe bure.uzee mwisho chalinze
Tiffah analelewa na dangoteMama anazingua akae hm na tifffa
Diamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
Umelonga,kama ujana alisha utumia vya kutosha na kama alisha kuwa na mahusiano na Dj Jerry Kotto fika atakuwa ana yajua maisha ya ujana,mimi nadhani angetulia tu na kujistahi kwa age aliyo nayo sioni kama ni busara hata kwenda kwenye hizo show,pengine angepata ushauri wa kina mama watu wazima walio karibu naye kama kina Asha Baraka,maana bibiye amezibuka.Diamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
Kubakiza michache ni kwa kipimo kipi? Mugabe ana 90 na kila kukicha tunazika wa miaka 5, 10, 20.......kweli labisa ukizibgatia amebakisha miaka michache tu
Nasikia mama anapigwa mbupu na mcheza show wa diamond...shuguli ipoDiamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
Kumbuka siyo vizuri kuwawema vibaya wazazi hata kama siyo wako. Wenzako wamechangia kwa hekima wakionyesha hisia kwa kutumia lugha ya staha.Nasikia mama anapigwa mbupu na mcheza show wa diamond...shuguli ipo