Zari punguza "kimuhemuhe"

No way. Zari huwa hajui kuficha mahusiano yake cheki list ya wababa wote aliotoka nao ipo mtandaoni.

Kwa zile show off alizokua anaonyesha akiwa na dai. Conclusion(kwa mujibu wa BAK)alikua bado anampenda Ivan hivyo akawa anamrusha roho.
Anataka kushindana na mswahili wa tandale,kashindwa Sepenga.
 
Angrmkomesha kwa kuonyesha ndoa kabisa sio hivo anavofanya
 
So DP akiomba mechi ya kirafiki kuna uwezekano atapewa ?
 
Reactions: BAK
Huyu nae utafikiri kabalehe leo. Ana hamu ya ndoa mpaka basi. Nakumbuka alijiita hadi Mrs Dee. Wallah bora ukose mali kuliko kukosa akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…