Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Numbisa kwa utimu shikamoo 😀😀😀
Bado yuko busy kumuumiza DP kwa kuonyesha yuko na njemba mwingine aliyeamua kuficha sura yake. Kama ameingia kwenye uhusiano mpya ili kumkomoa kwa namna moja au nyingine DP na kuingia kwenye ndoa haraka haraka ili yeye awe mshindi wa kuingia kwenye ndoa kabla ya DP basi inaweza kabisa kula kwake.
Vitendo vyake vingi vinaonyesha bado anampenda DP.
Anataka kushindana na mswahili wa tandale,kashindwa Sepenga.
HahahahaMarahabaaa[emoji23]
Angrmkomesha kwa kuonyesha ndoa kabisa sio hivo anavofanyaBado yuko busy kumuumiza DP kwa kuonyesha yuko na njemba mwingine aliyeamua kuficha sura yake. Kama ameingia kwenye uhusiano mpya ili kumkomoa kwa namna moja au nyingine DP na kuingia kwenye ndoa haraka haraka ili yeye awe mshindi wa kuingia kwenye ndoa kabla ya DP basi inaweza kabisa kula kwake.
Vitendo vyake vingi vinaonyesha bado anampenda DP.
Wewe alishakupa?Nachompendea Zari halijuagi kukataa mwanaume ukilipandia tu linakupa mzigo kiroho Safi ni kimama huruma.
Please naomba nikuulize swali kama hutojaliMmmh mnavyoumia sasa hahahaha
So DP akiomba mechi ya kirafiki kuna uwezekano atapewa ?Bado yuko busy kumuumiza DP kwa kuonyesha yuko na njemba mwingine aliyeamua kuficha sura yake. Kama ameingia kwenye uhusiano mpya ili kumkomoa kwa namna moja au nyingine DP na kuingia kwenye ndoa haraka haraka ili yeye awe mshindi wa kuingia kwenye ndoa kabla ya DP basi inaweza kabisa kula kwake.
Vitendo vyake vingi vinaonyesha bado anampenda DP.
Mbona sepenga anaonekana kama amezeeka ?Anataka kushindana na mswahili wa tandale,kashindwa Sepenga.
Very bigger oneStress is a disaster
Anaonesha anatumia pombe kwa wingi jumlisha wanaume na mavyakula bila kufanya mazoezi.Mbona sepenga anaonekana kama amezeeka ?
Huyu nae utafikiri kabalehe leo. Ana hamu ya ndoa mpaka basi. Nakumbuka alijiita hadi Mrs Dee. Wallah bora ukose mali kuliko kukosa akili.Zari taratibu na hiyo kiu yako ya ndoa, bwana atapepea huyo akuachie jina tu ubaki Mrs hewa, haujifunzi tu? Kwa Diamond hivo hivo Mrs Dee Mrs Dee ukanunua na lile sijui joho sijui gauni nyuma limeandikwa Mrs Dee mara kikatokea kibinti kikapewa mimba na jina la Dee kikampa mtoto, Boss Lady ukabakiziwa Joho tu, haya ushampata mpya tayari ushaanza mbwembwe za Mrs kwanini usitulie hadi mambo yakae sawa, sidhani kama kuna mwanaume anaependa hiyo tabia asee nnavojua ukijionesha una kiu iliyopitiliza hukawii kuachwa kwenye mataa, labda kwakua we bosslady ila sie kina mwajuma ndala ndefu wataishia kutimka mbio tu.
Kama ulivofanya mchumba awe siri, hebu hiyo ndoa inyamazie kwanza hata uwe engaged unajionesha kuitaka sana ni kama vile unataka ndoa ili ukomeshe watu, itakushinda kuihudumia bureeee kisa unataka ukomesheee.... Tulia bwana kwa diamond ulitangaza 2018 it gonna be million dollars typa shit, jini mkata kamba akapita kabla hata hujavalishwa pete View attachment 1129943
Wanaume wake wanatosha lile basi la mwendo kasi refu ?Anaonesha anatumia pombe kwa wingi jumlisha wanaume na mavyakula bila kufanya mazoezi.
Wako wanatosha fuso mkuuWanaume wake wanatosha lile basi la mwendo kasi refu ?
Ngoja na mimi nijitahidi kuongeza wadada waweze kujaza angalau Bombadier mojaWako wanatosha fuso mkuu
Moja ndogo Ukifika kumi nistue mkuu nikupe zawadiNgoja na mimi nijitahidi kuongeza wadada waweze kujaza angalau Bombadier moja
Wewe ukiwa kwenye hiyo list itakuwa ni zawadi tosha.Moja ndogo Ukifika kumi nistue mkuu nikupe zawadi