Zari: Sihami kwa Diamond Ng’o.

Zari: Sihami kwa Diamond Ng’o.

Jamani ila zari anajua kupanikisha watu, khaa kwa hiyo zile mbwe mbwe za kuhama ilikua ni geresha au ? Yani nikiangalia video nacheka mbavu sina, yani kama mtu una hasira unaweza pasua simu kwa kweli, Dada mange Sijui Ana hali gan Huko maana alishaanza kufurahia zari kuhama, ila Mimi mwenyewe ningeshangaa kama angehama, yani mjumba wote huo unaanzaje kuhama? Walidhan umeingia leba kifara tu kama akina mwafulani [emoji23], watu wako na long term plan bwana , life investment, safi sana zari, waache wabongo mapovu yawatoke, they want that life so bad , but sio wewe uliyewatuma kuzaa na wanaume bila kutumia akili [emoji23][emoji23], dah ila Leo Zari umejua kunikosha, yan umeua[emoji23][emoji23]

Halafu anavyocheza mwenye we kwa mbwe mbwe zote eti ahami mtu hapa mtu hapa[emoji23][emoji23][emoji23], yan nikiangalia video mwenzenu hoi kwa kicheko[emoji23][emoji23]

View attachment 1121684
Ila we nae kwa umbea!
 
Tangu lini mali ikawa ya mtoto kabla mzazi hajafariki?! Huko kutalikiana kwani, walifunga ndoa lini na wapi?! Diamond akiamua kuuza hata leo anauza sema atakuwa responsible kutafuta makazi kwa ajili ya watoto na ndio maana hawezi kuuza halafu aingie gharama zingine! Huyo Zari ataendelea kuwapo kwa sababu watoto bado watoto ni wadogo, na bado wapo na umri ambao hawaewezi kuishi na mwingine zaidi ya mama yao! Nyumba itageuka kuwa permanent ya watoto endapo mmiliki halali ama anaamua ku-transfer ownership au anakufa!!

njoo uje kuishi.alafu uje kusimulia
 
Kishaachwa huyo. Alikuwa busy kutangaza nyumba mpya. Zari ana matatizo kwenye ubongo wake,maisha ya kutaka watu insta wakuone billionea. Hapo moyoni anaumia mpaka basi.
Zari wanampoza sana visicha vya Instagram!! Tena yale anayosemaga Mange kwamba Ivan hakuacha nyumba inawezekana ni kweli! We fikiria ile nyumba na yule jamaa, siku ya kuinunua tu (according na madai yake), siku hiyo hiyo akai-post! Ndo angeacha kuzi-post hizo nyumba 4 alizoachiwa na Ivan!!!
 
Zari wanampoza sana visicha vya Instagram!! Tena yale anayosemaga Mange kwamba Ivan hakuacha nyumba inawezekana ni kweli! We fikiria ile nyumba na yule jamaa, siku ya kuinunua tu (according na madai yake), siku hiyo hiyo akai-post! Ndo angeacha kuzi-post hizo nyumba 4 alizoachiwa na Ivan!!!
Kwa tabia yake yule,yaani kila siku angekuwa anazupost.
 
Hahahaha hili gazeti lote langu?bwahahahaha
62248907_131675071365405_8461103188788965591_n.jpg


#domohananyumbasauzi
Ujeuri vipi wakati alishasema hawezi kufanya jambo kama hilo?! Tatizo ni kwamba mmeumbuka baada ya kudanganyana kwamba nyumba ni ya Zari! Unaapiza vipi kwamba huwezi kuhama kwenye nyumba ya kwako?! Ingekuwa ya kwake asingeapiza kwamba haami ng'o! Anaapiza kwamba hahami kwa kigezo cha watoto, kwamba ahame halafu watoto wakaishi wapi!! Na Mond hawawezi kuwa na hofu kwa sababu anafahamu wanaoishi ni watoto wake lakini mmiliki ni yeye! Na wala hawezi kuwa na haja ya kuiuza wakati yeye bado ni kijana sana, na katika harakati zake anaweza ku-relocate; hata kama ni after 18 years wakati Zari hatakuwa tena na kisingizio cha kuishi kwenye nyumba kwa sababu watoto tayari watakuwa wakubwa!
 
According to mange,ivan hajafa bali amejificha huko kukwepa madeni

Huyo huyo mange ,nyumba ya sauz sio ya domo bali ya kinje ooopsss sio ya kinje bali domo kapangisha analipa kodi ndefu kwa mwezi

According according according pheeeewww ushuzi wa mange,Zari ni choka mbaya eti vipicha lol. Piga basi na wewe utupoze wananzengo
Zari wanampoza sana visicha vya Instagram!! Tena yale anayosemaga Mange kwamba Ivan hakuacha nyumba inawezekana ni kweli! We fikiria ile nyumba na yule jamaa, siku ya kuinunua tu (according na madai yake), siku hiyo hiyo akai-post! Ndo angeacha kuzi-post hizo nyumba 4 alizoachiwa na Ivan!!!
 
Kishaachwa huyo. Alikuwa busy kutangaza nyumba mpya. Zari ana matatizo kwenye ubongo wake,maisha ya kutaka watu insta wakuone billionea. Hapo moyoni anaumia mpaka basi.
Unaona eee ,yaani kwa umri wake na watoto alionao hapaswi kuishi Maisha ya insta .Jamini pelekeni watoto shule mambo mengine yanaweze yasitumike sana sasa mwenzenu ni "profession prostitute" ila anaujulia mpaka amepata nyumba ? sio mchezo hata akipata bwana insta,akipata kibanio kipya cha nyele insta.mpaka unaweza hisi na matatizo ya akili au depression.
 
Unaona eee ,yaani kwa umri wake na watoto alionao hapaswi kuishi Maisha ya insta .Jamini pelekeni watoto shule mambo mengine yanaweze yasitumike sana sasa mwenzenu ni "profession prostitute" ila anaujulia mpaka amepata nyumba ? sio mchezo hata akipata bwana insta,akipata kibanio kipya cha nyele insta.mpaka unaweza hisi na matatizo ya akili au depression.
Ana depression huyo,akinunua majagi mitandaoni,yaani yeye anajisikia vizuri kuwaonyesha watu insta kuwa all is well,kumbe hakuna lolote.Sijui kingbae yaani utafikiri ni underage.
 
According to mange,ivan hajafa bali amejificha huko kukwepa madeni

Huyo huyo mange ,nyumba ya sauz sio ya domo bali ya kinje ooopsss sio ya kinje bali domo kapangisha analipa kodi ndefu kwa mwezi

According according according pheeeewww ushuzi wa mange,Zari ni choka mbaya eti vipicha lol. Piga basi na wewe utupoze wananzengo
Maneno mengi ya nini?! Kila mahali anakoenda yule lazima apige picha! Majuzi tu hapa kapiga picha kwamba mpenzi wake mpa kanunua nyumba! Akapige basi picha na hayo majumba anayomiliki; simple!!
 
Jamani kwani kazi ya K ni nini?wajinga tu ndo mnaomchangia mange na tununu.

#tumiaKyakovizuriikuneemeshe
Pole, mchangieni Bi kongwe wenu apate nyumba ili afanye shows-off kwenye nyumba yake! Mtu unazeeka unategemea K ndo ikutunze! What a pit!!
 
Simple inakuuma acha kufatilia maisha yake. Bila hizo picha povu lisingekutoka hapa

#domoaonyeshehatiyanyumba
Maneno mengi ya nini?! Kila mahali anakoenda yule lazima apige picha! Majuzi tu hapa kapiga picha kwamba mpenzi wake mpa kanunua nyumba! Akapige basi picha na hayo majumba anayomiliki; simple!!
 
Jamani kwani kazi ya K ni nini?wajinga tu ndo mnaomchangia mange na tununu.

#tumiaKyakovizuriikuneemeshe
Kwahiyo nilivyosema mumchangie unadhani nilimaanisha wakati nafahamu wengi wenu ni choka mbaya! Si hadi uwe na hicho cha kuchangia! Inachekesha kuona hatimae mnakiri kwamba kibibi hana cha ubosi wala nini bali anaishi kwa kutegemea K! Btw, shule yenyewe hakwenda, asitegemee K ategemee nini cha ziada baada ya familia ya Ivan kumwekea ngumu!!
 
Simple inakuuma acha kufatilia maisha yake. Bila hizo picha povu lisingekutoka hapa

#domoaonyeshehatiyanyumba
Bwah! Bwah! Bwah! And FYI, nimeanza kumchukia Zari baada ya ugomvi wake na Mondi kuwahusisha watoto! NI wanawake wapumbavu tu ndio wanaweza kufanya upuuzi kama huo! Anashindwa akili hata na Hamisa msichana mdogo, ni upumbavu ulioje!
 
Mtoa post naona post zake hazinaga maana cjui hana kazi ya kufanya ni umbea tu nahisi hata kazi hana ni jobless

Wewe mwenye Kazi ya kufanya humu unatafuta nini ? Au bacteria wanakuwasha?
 
Ana depression huyo,akinunua majagi mitandaoni,yaani yeye anajisikia vizuri kuwaonyesha watu insta kuwa all is well,kumbe hakuna lolote.Sijui kingbae yaani utafikiri ni underage.
Halafu anamficha ujue lazima ni mume wa mtu. Ukiona hata rafiki zake hawajui Kuna sida somewhere na ubongo wake ni zero hivi mpaka Leo na umri ule ukipata ka boy friend ni wakuringishia mtandaoni kama wasichana wa under 20s
 
Bwahahahahhaaa aliyeanza kuwakomoa watoto ni nani? Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie

Team chuchunge hamisa ana akili gani?za kwenda mahakamani kudai child support au za kumblock domo kila anaponyimwa hela za matunzo

#mweemweemweezarianaumizawatu
Bwah! Bwah! Bwah! And FYI, nimeanza kumchukia Zari baada ya ugomvi wake na Mondi kuwahusisha watoto! NI wanawake wapumbavu tu ndio wanaweza kufanya upuuzi kama huo! Anashindwa akili hata na Hamisa msichana mdogo, ni upumbavu ulioje!
 
Back
Top Bottom