Zari: Sihami kwa Diamond Ng’o.

Ila we nae kwa umbea!
 

njoo uje kuishi.alafu uje kusimulia
 
Kishaachwa huyo. Alikuwa busy kutangaza nyumba mpya. Zari ana matatizo kwenye ubongo wake,maisha ya kutaka watu insta wakuone billionea. Hapo moyoni anaumia mpaka basi.
Zari wanampoza sana visicha vya Instagram!! Tena yale anayosemaga Mange kwamba Ivan hakuacha nyumba inawezekana ni kweli! We fikiria ile nyumba na yule jamaa, siku ya kuinunua tu (according na madai yake), siku hiyo hiyo akai-post! Ndo angeacha kuzi-post hizo nyumba 4 alizoachiwa na Ivan!!!
 
Kwa tabia yake yule,yaani kila siku angekuwa anazupost.
 
Hahahaha hili gazeti lote langu?bwahahahaha

#domohananyumbasauzi
 
According to mange,ivan hajafa bali amejificha huko kukwepa madeni

Huyo huyo mange ,nyumba ya sauz sio ya domo bali ya kinje ooopsss sio ya kinje bali domo kapangisha analipa kodi ndefu kwa mwezi

According according according pheeeewww ushuzi wa mange,Zari ni choka mbaya eti vipicha lol. Piga basi na wewe utupoze wananzengo
 
Kishaachwa huyo. Alikuwa busy kutangaza nyumba mpya. Zari ana matatizo kwenye ubongo wake,maisha ya kutaka watu insta wakuone billionea. Hapo moyoni anaumia mpaka basi.
Unaona eee ,yaani kwa umri wake na watoto alionao hapaswi kuishi Maisha ya insta .Jamini pelekeni watoto shule mambo mengine yanaweze yasitumike sana sasa mwenzenu ni "profession prostitute" ila anaujulia mpaka amepata nyumba ? sio mchezo hata akipata bwana insta,akipata kibanio kipya cha nyele insta.mpaka unaweza hisi na matatizo ya akili au depression.
 
Ana depression huyo,akinunua majagi mitandaoni,yaani yeye anajisikia vizuri kuwaonyesha watu insta kuwa all is well,kumbe hakuna lolote.Sijui kingbae yaani utafikiri ni underage.
 
Maneno mengi ya nini?! Kila mahali anakoenda yule lazima apige picha! Majuzi tu hapa kapiga picha kwamba mpenzi wake mpa kanunua nyumba! Akapige basi picha na hayo majumba anayomiliki; simple!!
 
Jamani kwani kazi ya K ni nini?wajinga tu ndo mnaomchangia mange na tununu.

#tumiaKyakovizuriikuneemeshe
Pole, mchangieni Bi kongwe wenu apate nyumba ili afanye shows-off kwenye nyumba yake! Mtu unazeeka unategemea K ndo ikutunze! What a pit!!
 
Simple inakuuma acha kufatilia maisha yake. Bila hizo picha povu lisingekutoka hapa

#domoaonyeshehatiyanyumba
Maneno mengi ya nini?! Kila mahali anakoenda yule lazima apige picha! Majuzi tu hapa kapiga picha kwamba mpenzi wake mpa kanunua nyumba! Akapige basi picha na hayo majumba anayomiliki; simple!!
 
Jamani kwani kazi ya K ni nini?wajinga tu ndo mnaomchangia mange na tununu.

#tumiaKyakovizuriikuneemeshe
Kwahiyo nilivyosema mumchangie unadhani nilimaanisha wakati nafahamu wengi wenu ni choka mbaya! Si hadi uwe na hicho cha kuchangia! Inachekesha kuona hatimae mnakiri kwamba kibibi hana cha ubosi wala nini bali anaishi kwa kutegemea K! Btw, shule yenyewe hakwenda, asitegemee K ategemee nini cha ziada baada ya familia ya Ivan kumwekea ngumu!!
 
Simple inakuuma acha kufatilia maisha yake. Bila hizo picha povu lisingekutoka hapa

#domoaonyeshehatiyanyumba
Bwah! Bwah! Bwah! And FYI, nimeanza kumchukia Zari baada ya ugomvi wake na Mondi kuwahusisha watoto! NI wanawake wapumbavu tu ndio wanaweza kufanya upuuzi kama huo! Anashindwa akili hata na Hamisa msichana mdogo, ni upumbavu ulioje!
 
Mtoa post naona post zake hazinaga maana cjui hana kazi ya kufanya ni umbea tu nahisi hata kazi hana ni jobless

Wewe mwenye Kazi ya kufanya humu unatafuta nini ? Au bacteria wanakuwasha?
 
Ana depression huyo,akinunua majagi mitandaoni,yaani yeye anajisikia vizuri kuwaonyesha watu insta kuwa all is well,kumbe hakuna lolote.Sijui kingbae yaani utafikiri ni underage.
Halafu anamficha ujue lazima ni mume wa mtu. Ukiona hata rafiki zake hawajui Kuna sida somewhere na ubongo wake ni zero hivi mpaka Leo na umri ule ukipata ka boy friend ni wakuringishia mtandaoni kama wasichana wa under 20s
 
Bwahahahahhaaa aliyeanza kuwakomoa watoto ni nani? Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie

Team chuchunge hamisa ana akili gani?za kwenda mahakamani kudai child support au za kumblock domo kila anaponyimwa hela za matunzo

#mweemweemweezarianaumizawatu
Bwah! Bwah! Bwah! And FYI, nimeanza kumchukia Zari baada ya ugomvi wake na Mondi kuwahusisha watoto! NI wanawake wapumbavu tu ndio wanaweza kufanya upuuzi kama huo! Anashindwa akili hata na Hamisa msichana mdogo, ni upumbavu ulioje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…