Zari: Sihami kwa Diamond Ng’o.

Umepanic my dear mypulseee my matacow hahahahhaaa Zari mbayaaaaaa pole. Hashobokewi mtu hapa.

Akili za tununu ni zile za kwenda mahakamani au akinyimwa child support anazira kumpost mtoto na kumuunfollow domo?
Alichokuwa amekosea Hamisa sio kwenda mahakamani bali kushikiwa akili zake na akina Mange!! Kama asingeshikiwa akili, mosi wala asingevujisha siri mapema vile ili kujaribu kuwaachanisha Mond na Zari!! Na alipoona suala la kuwaachanisha limegonga mwamba, wakamjaza kwamba hapo lazima upewe mamilioni kwavile wanasikia kesi za ina hiyo zinazowahusu ma-celeb wa US bila kufahamu sheria za US na TZ ni tofauti! Na hata huko US kwenyewe, sheria zinatofautiana kati ya jimbo na jimbo!
 
Nilikuwa namfikiria Atoto
Wale wale kwa 100% !! Nimemtaja Joanah kwa sababu yeye angalau nimewahi ku-interact nae hapa JF hadi nikamwambia nampenda (I hope hautaniacha)! Huyo Atoto nisingeweza kumtaja kwa sababu sikumbuki nime-interact nae lini!
 
Whaat... ??! Ulisema unamfanyaje [emoji24]
Wale wale kwa 100% !! Nimemtaja Joanah kwa sababu yeye angalau nimewahi ku-interact nae hapa JF hadi nikamwambia nampenda (I hope hautaniacha)! Huyo Atoto nisingeweza kumtaja kwa sababu sikumbuki nime-interact nae lini!
 
Baby, acha habari zako; hiyo ilikuwa zamani bhana na yeye alishasema hanitaki na nimkome! Sa' hofu ya nini my angel [emoji257] [emoji257] !
Kitendo cha wewe tu kumpenda imeniuma sana [emoji24]
 
Kitendo cha wewe tu kumpenda imeniuma sana [emoji24]
We mbona unachepuka na yule jamaa halafu mimi sisemi? Au unadhani hainiumui? Yule mchepuko wako sijui mwasu vile, sijui wasu! Hebu nikumbushe jina lake yule jamaa unayechepuka nae, au kama vp natafuta mwenyewe halafu nam-call hapa ubishe 😢
 
We mbona unachepuka na yule jamaa halafu mimi sisemi? Au unadhani hainiumui? Yule mchepuko wako sijui mwasu vile, sijui wasu! Hebu nikumbushe jina lake yule jamaa unayechepuka nae, au kama vp natafuta mwenyewe halafu nam-call hapa ubishe [emoji22]
Umwite wa nini sasa, nachepuka nae ndio kwani nimesema nampenda?
 
Umwite wa nini sasa, nachepuka nae ndio kwani nimesema nampenda?
Sa' mimi niliyekuwa napenda lakini nikakataliwa na kwahiyo sikuchepuka na wewe ambae hupendi lakini kila siku unachepuka; bora nani?! Wanadamu tumeumbwa tupende ati, na kwahiyo hakuna kosa kupenda! Lakini wewe, aaaaaargh! Ni full kuchepuka 😡💔! Inauma sana yaani!
 
Hata hivyo nimeacha kweli tena
 
My Khantwe, usijisahaulishe! Nimuite?! Mbona kimya? Au unampiga sound huko hivi sasa, halafu baadae uje na kujifanya "muite!" Nishaghairi, simuiti manake umeshathibitisha mwenyewe!
 
My Khantwe, usijisahaulishe! Nimuite?! Mbona kimya? Au unampiga sound huko hivi sasa, halafu baadae uje na kujifanya "muite!" Nishaghairi, simuiti manake umeshathibitisha mwenyewe!
Hayo ndio maneno sasa[emoji3][emoji3]
 
Ya nini bwana achana na huyo, let's talk about us [emoji3]
Ndo n'shasema hivyo, wakati nakuambia ni jinsi gani nakupenda lakini kaa ujue it's a matter of time kabla hamjanasana! Sitaki mchezo mimi, kwa mke wangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…