Zari the boss lady ananitesa bila sababu

Zari the boss lady ananitesa bila sababu

Joined
Feb 8, 2015
Posts
88
Reaction score
34
Habari ndugu wana JF, nimeanzisha uzi huu nikiamini huenda ZARI akauona anitatulie tatizo langu.

Mimi nilikuwa follower wako mzuri tu kule instagram. . Nilichokuwa nikifanya ni ku double tap tu kwenye kila picha unayoweka. . . Na wala sipo team yoyote katika zile team zako na yule mtoto wa balozi.. .Yani Am completely neutral katika ishu hii. . .All I was doing is enjoying ur beauty.

Sasa nashangaa juzi kati apa nakuta nimechezea block moja matata sana ata sjui kosa langu nini.

Zari weeeeeeeee! Unanitesa mwenziio, dont leave me alone pls.

Wana JF nisaidieni kuniombea kwa huyu mdada. . Ani PM nimpe username yangu aniblokue.
 
Am goin to assume U r not insulting Me!! . . . Coz otherwise, U will be creating an enemy for no reason. . . I DO hold grudge for a looooong time

Isome tena post yako,, ndo urudi kwangu.
 
Habari ndugu wana JF, nimeanzisha uzi huu nikiamini huenda ZARI akauona anitatulie tatizo langu

Mimi nilikuwa follower wako mzuri tu kule instagram. . Nilichokuwa nikifanya ni ku double tap tu kwenye kila picha unayoweka. . . Na wala sipo team yoyote katika zile team zako na yule mtoto wa balozi.. .Yani Am completely neutral katika ishu hii. . .All I was doing is enjoying ur beauty

Sasa nashangaa juzi kati apa nakuta nimechezea block moja matata sana ata sjui kosa langu nini

Zari weeeeeeeee! Unanitesa mwenziio, dont leave me alone pls. .

Wana JF nisaidieni kuniombea kwa huyu mdada. . Ani PM nimpe username yangu aniblokue. . .

Wewe ni stalker.Mbona umeumia hivyo utafikiri yesu kakutosa.Get Zoloft and propofol
 
Mi nilichamba rayc kuhusu mkorogo wake akaniblock,nikamchamba wema akaniblock nikafungua nyingine hhhhhaaaaa wala hata sikuumia
 
Back
Top Bottom