Zari the boss lady, Breaking the internet again.

Huyu warumi mbona haendani na jina alilojipachika hapo “warumi”?. Hata kama ni fake I'd angalau fanya iendane na ulivyo?. Mimi nafikiri ungetumia I'd kama ”MIPASHO” au ”USHAMBENGA”. lingekukaa vizuri na hiyo picha ungeweka ya ”MWAJUMA NDALA NDEFU”. Hamna bwana,natania tu warumi usije ukanichamba. Kwanza ulinihabarisha kwa uzuri sana matukio ya kwa mengi. Hivi iliishieje wale waliotumwa kumlinda kyrin asi-escape?.
 

Mimi sio size yako
 

Maskin , sasa kuchamba kwenyewe hujui Sijui nakusaidiaje, yan nilikua nimejiandaa kukuchamba Mungu wangu ila kwa kuwa umejisalimisha kuwa hujui matusi, kikombe kimekuepuka, kuwa na usiku mwema
 

Ukisikia paaa, Mimi simo binamu , wasalimie
 

Ahahah hayo majina sasa khaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi najikubali vile nilivyo!

Alivyonifinyanga Bwana yatosha nikiwa na Bwana yatosha! [emoji440][emoji446][emoji441][emoji448][emoji449][emoji443][emoji450][emoji450]

In Kakobe ‘s voice [emoji14][emoji14][emoji14]

Weka picha tuone kama wasema ukweli
 
Hili lidada linanyota jamani....sitaki kuamini linapanickisha wanaojiita wanaume humu jf...qumamae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…