Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Alaa! Hilo Swali Hukupaswa Kuniuliza MimiSa
Kwani hii thread inamuhusu diamond?mpaka useme kila Uzi wa diamond ndo nachangia?
Swali lako lilikuwa linasemaje?Alaa! Hilo Swali Hukupaswa Kuniuliza Mimi
Ulipaswa Kumuuliza Numbisa
Halafu Jana Swali Langu Hadi Leo Hujajibu Umenikimbia
Numbisa unkimbanaga kidogo tu lazima akimbie ndio kawaida yakeAlaa! Hilo Swali Hukupaswa Kuniuliza Mimi
Ulipaswa Kumuuliza Numbisa
Halafu Jana Swali Langu Hadi Leo Hujajibu Umenikimbia
[emoji16][emoji16]hatareeKatika CV ya zari umesahau kuitaja ile ndoa yake aliyojioa
Comment zako Mzeee!Uchaguzi wa serikali za mitaa unakaribia tuwe makini wakuu kuchagua wenyeviti
Hahha anakuja jipange mzeeWagombea wenye akili kama za warumi au hata kama zina harufu ya urumi urumi wanatakiwa kuogopwa kama moto wa Jehanamu
Zimefanyaje chief inaonekana zinakusitisha sana samahan kiongoziComment zako Mzeee!
Numbisa unkimbanaga kidogo tu lazima akimbie ndio kawaida yake
Huyo ni mpuuzi tu jamii ya Musiba wala hana lolote la maana.Hahha anakuja jipange mzee
Do not judge a book on its cover [emoji108][emoji108][emoji108]
Hivi viingereza vya humu saingine tunajiandikia tu ili mradi ilete maana fulani.
Sasa wewe na kiingereza chako cha ki mission town cha kwa ras Simba ndo ungekuwa msahihishaji wa wazamivu na wabobezi?!
[emoji14][emoji14][emoji14]
Mmnh!
Leo naona umepotea njia yaani umevaba mazima!
Siyo wote wanaochangia mada humu wako kama wewe ulivyo na hao kina zari wako [emoji108][emoji108]
Na bahati mbaya sijajaliwa kujua kutukana watu !
Yani hapa nilipo hata kusonya huwezi amini sijui kabisa !
Kwa hiyo pole mimi siyo wa aina yako mwaya!
Jifunze kupokea michango ya mawazo ya watu wenye mitazamo mbali mbali hata iliyo tofauti na yako!
Pia fahamu siyo kila anaechangia mada zao ni malaya na mdangaji kama wewe na Zari n.k
"Nyie hoes wa bei rahis you can’t compete with her, mtahangaika ku team up against Zari but hamumuwezi kwa chochote yan[emoji23], sio kwa uzuri, pesa , followers yan kila kitu"
Huu waraka bora ukapost katika page za hao unaodhani hoes sio kututusi wasomaji wote
😂🤣🤣🤣🤣Uchaguzi wa serikali za mitaa unakaribia tuwe makini wakuu kuchagua wenyeviti
Huyu warumi mbona haendani na jina alilojipachika hapo “warumi”?. Hata kama ni fake I'd angalau fanya iendane na ulivyo?. Mimi nafikiri ungetumia I'd kama ”MIPASHO” au ”USHAMBENGA”. lingekukaa vizuri na hiyo picha ungeweka ya ”MWAJUMA NDALA NDEFU”. Hamna bwana,natania tu warumi usije ukanichamba. Kwanza ulinihabarisha kwa uzuri sana matukio ya kwa mengi. Hivi iliishieje wale waliotumwa kumlinda kyrin asi-escape?.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi najikubali vile nilivyo!
Alivyonifinyanga Bwana yatosha nikiwa na Bwana yatosha! [emoji440][emoji446][emoji441][emoji448][emoji449][emoji443][emoji450][emoji450]
In Kakobe ‘s voice [emoji14][emoji14][emoji14]