Kwahiyo binamu leo hii nikinunua nyumba huku hati ya nyumba ikiwa na jina ni la kwangu, hati yenyewe nimeiweka ninapopajua mimi, lakini kutokana na sababu moja au nyingine nikakuacha wewe uishi kwenye hiyo nyumba, ndo tayari utakuwa unatamba nimekunulia nyumba?!
Lakini sitashangaa manake dada wa mjini ndo zao hizo! Huwa wanatamba kununuliwa gari wakati hata rangi ya kadi ya hiyo gari hawajaiona!
HakikaUchaguzi wa serikali za mitaa unakaribia tuwe makini wakuu kuchagua wenyeviti
Duh! Yaani unavyoapiza unaweza kusema wewe ndie one of the key players kwenye issue mzima!Kwa nn hakumuachia hamisa au Kim nana au official Lynn? , Zari anajielewa na endelea kufikiri kuwa ipo siku diamond atachukua ile Nyumba , never
Kagoogle utapata fundishoHadithi yako dada inatufundisha Nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu unalipwa?mbona kila post unaquote khaa kero sana
NakaziaAma kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. 😀 😀
Kwakweli..umenena vyema wanawake watafute tu pesa sababu hata wakimchukia huyo mlengwa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinuKupitia hii thd nimeona jinsi wanawake wanavyochukiana kwa misingi ya kuoneana wivu tu! kumchukia aliyekuzidi kwa kila kitu hakurahisishi maisha yako kua mazuri,jifunze mazuri toka kwa watu na mabaya waachie wao wenyewe,kila mtu ana mambo mazuri na mabaya,nobody is perfect.
Kama Maji as "Usipo muoga utamnywa"Zari ni kama maji[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] numbisa ..wanifurahisha ujue
Mbona numbisa unatukana hivyo?
Me mwanaume nisagane na mwanamke kweli? Alafu unajinasibu hujatukana?Wapi nimetukana
Me mwanaume nisagane na mwanamke kweli? Alafu unajinasibu hujatukana?
AsanteWewe ni mdada acha kukana jinsia yako
Bora huyo kapewa pesa. Kuna wengine wamekosa kila kitu na wakazawadiwa ukimwi. Yaani ukimfikiria Mungu unaweza kumfuata huko na mapanga na marunguMungu fundi kampa pesa kamnyima ndoa hata Ivan hakuoa kidini, analilia ndoa ndio maana juzi kajioa dah aibu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii comment imetawaliwa na wivu.Katika CV ya zari umesahau kuitaja ile ndoa yake aliyojioa
Huyu jina zari LA mtende, mi nyimbo alitoa mibaya ( hakutoka kama mimi) kumpata dai afrika imemjua.Bora huyo kapewa pesa. Kuna wengine wamekosa kila kitu na wakazawadiwa ukimwi. Yaani ukimfikiria Mungu unaweza kumfuata huko na mapanga na marungu