Zari the boss lady, Breaking the internet again.

Zari the boss lady, Breaking the internet again.

Ana uzuri gani?
Huo wa kununua, hayo mawigi, meckups n.k?

Kuna wanawake wenye uzuri wa asili na siyo hao wavaa mawigi na meckups

Sio meckups jaman ni make up, halafu nimgendua wengi wanaomchukia Zari ni mabogus hawajielewi hawana mbele wala nyuma[emoji23]
 
Zari Akifa Nawe Warumi Unakufa Njaa Hapa Mjini
Utarudi Kwemu "madongokuinama"
Ukalime Matikiti Ombea Sana Zari Asife

Ahahah dua la Kuku, kifo kipo binamu, wote tunakufa bhana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi najikubali vile nilivyo!

Alivyonifinyanga Bwana yatosha nikiwa na Bwana yatosha! [emoji440][emoji446][emoji441][emoji448][emoji449][emoji443][emoji450][emoji450]

In Kakobe ‘s voice [emoji14][emoji14][emoji14]

Nyoo usimuingize bwana kwenye umalaya wako mxieew
 
Nyoo usimuingize bwana kwenye umalaya wako mxieew

Mmnh!

Leo naona umepotea njia yaani umevaba mazima!

Siyo wote wanaochangia mada humu wako kama wewe ulivyo na hao kina zari wako [emoji108][emoji108]

Na bahati mbaya sijajaliwa kujua kutukana watu !

Yani hapa nilipo hata kusonya huwezi amini sijui kabisa !

Kwa hiyo pole mimi siyo wa aina yako mwaya!

Jifunze kupokea michango ya mawazo ya watu wenye mitazamo mbali mbali hata iliyo tofauti na yako!

Pia fahamu siyo kila anaechangia mada zao ni malaya na mdangaji kama wewe na Zari n.k
 
Sio meckups jaman ni make up, halafu nimgendua wengi wanaomchukia Zari ni mabogus hawajielewi hawana mbele wala nyuma[emoji23]

Do not judge a book on its cover [emoji108][emoji108][emoji108]

Hivi viingereza vya humu saingine tunajiandikia tu ili mradi ilete maana fulani.

Sasa wewe na kiingereza chako cha ki mission town cha kwa ras Simba ndo ungekuwa msahihishaji wa wazamivu na wabobezi?!

[emoji14][emoji14][emoji14]
 
Mmnh!

Leo naona umepotea njia yaani umevaba mazima!

Siyo wote wanaochangia mada humu wako kama wewe ulivyo na hao kina zari wako [emoji108][emoji108]

Na bahati mbaya sijajaliwa kujua kutukana watu !

Yani hapa nilipo hata kusonya huwezi amini sijui kabisa !

Kwa hiyo pole mimi siyo wa aina yako mwaya!

Jifunze kupokea michango ya mawazo ya watu wenye mitazamo mbali mbali hata iliyo tofauti na yako!

Pia fahamu siyo kila anaechangia mada zao ni malaya na mdangaji kama wewe na Zari n.k
Naona umemaliza kabisa warumi
 
Aliolewa na ndio maana anasimamia mali zote za mume wake kwa taarifa yako , Incase you didn’t know pole
Coz alimzaa nae inabidi asimamie Mali sake. Vip mbona husemu juzi alivyojioa??😁😁😁😁😁
 
Shosti mbona wewe komenti zako zote kumpamba domo,amekulipa?
Akiharibu nitamchana na sio diamond pekee kila celebrities me nipo very honest mtu akifanya vizuri lazima nikusifie kama ninavyomsifia member mwenzetu marianah huyu dada namkubali Sana anaandikaga point Sana hata we uliandika point nitakusifia na nitakupa like yangu ila tatizo lako unatanguliza Sana mapenzi yako kuliko uhalisia ndo maana unaniona mbaya
 
Hapa ndo tabia yako halisi sema vile nyani haoni kund.le
Akiharibu nitamchana na sio diamond pekee kila celebrities me nipo very honest mtu akifanya vizuri lazima nikusifie kama ninavyomsifia member mwenzetu marianah huyu dada namkubali Sana anaandikaga point Sana hata we uliandika point nitakusifia na nitakupa like yangu ila tatizo lako unatanguliza Sana mapenzi yako kuliko uhalisia ndo maana unaniona mbaya
 
"Nyie hoes wa bei rahis you can’t compete with her, mtahangaika ku team up against Zari but hamumuwezi kwa chochote yan[emoji23], sio kwa uzuri, pesa , followers yan kila kitu"
Huu waraka bora ukapost katika page za hao unaodhani hoes sio kututusi wasomaji wote
 
Hapa ndo tabia yako halisi sema vile nyani haoni kund.le
Hakuna sehemu niliyowahi kukujibu ovyo na pia ujue me nipo very humble na ni mpole na nisie penda makuu labda kutofautiana mawazo na wewe unaweza kunichukulia hivyo
 
Back
Top Bottom