Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Uwiiiii! Kweli Zari atakua kachokozwa sio mtu wa kuropoka hovyo.Ila kuna kitu kinashangaza hapa....kama Zari ameshaachana na mumewe na sasa hivi ana mpenzi mwingine, wivu wa nini?
Au ndio yaleyale tuliyosikia kua hili ni game na Diamond atakua looser at the end?
Hahahaaa, ila chagga barbie naye bwana? Eti raising the innocent won't hurt at all...lol
Yeye aseme tu ukweli anafuata pesa bwana.
ha ha ha ha tatizo sio kuwa na.ivan tatizo wanamchokoza chokoza zari na hizo team team ushuzi na leo kaamua kusimamia show anajibu comments za watu kweli kavuruga zari
Hapo sasa.Naye chagga aseme tu anataka pesa.raising the innocent kwani zari hawalei watoto wake,ila mbona ivan ana huyo mdada nliskia ndo anataka kumua simkumbuki hata jina Dinazarde hiy ndoa haipo tena??
Haya ndio mtuwekee hizo screen shots wenzenu insta tumeiacha zamani.ha ha ha ha tatizo sio kuwa na.ivan tatizo wanamchokoza chokoza zari na hizo team team ushuzi na leo kaamua kusimamia show anajibu comments za watu kweli kavuruga zari
Sio unamuonaga kama.....ndiye.ila sijui kwanini mi chaggabarbie namuonaga ka kahaba fulani!.. uyo Zari angalau alipata muda wa kutimiza uanamke Stella Tillya loh...hapana kwakweli
ha ha ha zari kanifurahishq mchagga kabaki anapost picha tu za tutakko et kiss my ass tutakko twenyewe man made lolMi nashindwa kuelewa hawawezi kua na ivan mpaka wamchokonoe zari,zari keshatukanwa mnoo lakini anakaaga kimya leo kaamua sasa housegirl toka Usa heheeee
Na Citizen alisema kua yeye na ivan washaachana ila huwasiliana mara chache kwaajili ya watoto,sasa tatizo wapii,huyo chaga na makaratasi hana akaege huko huko kazi kusaka mabwana kwa nguvu,zari leo kanikomeshea mbwaaa aisee nimecheka mpaka bassi warumi wahi huku
Sio unamuonaga kama.....ndiye.
Bora Zari kazaa na bado mrembo hatariiiii.Hao wengine wazae basi tuwaone.
leo uchokozi wake umemtokea puani...zari huwa hajibu jibu ila siku akiamua kujibu mweh yani kama karusha bomu lolHalafu ivan si ana mwanamke anaitwa Sharon sijui nimepatia ndio anaishi nae duuu kwa hili chagga ni mchokozi nyokosti
zari's jewelry haiuzi au??na yale maduka ya nguo??mmh labdaWote wagawaji tu.....
Zari ni unsummit na chagga ni un summit vilevile....bahati mbaya tu chagga hata makaratasi hana
Na zari bila ivan ni zeeeeeeeerooooooooo juzi kwenda nairobi tu ilibidi adokoe kwenye akaunti ya watoto