Zari 'The Boss Lady' VS Chagga Barbie 'Muke ya Mganda'

Umbea heheheee amu neema anatoka na shamsa nenda kwa usipojipangantakupanga
 
Last edited by a moderator:
nineona shoga shurti yupo busy na wifi
Umbea heheheee amu neema anatoka na shamsa nenda kwa usipojipangantakupanga

Mwache na yeye atangazwe na alivyo na shape mbaya huyo shamsa
Ney ni wa kiume siyo mwanaume
 
Last edited by a moderator:
Palipomshinda mwenzio nawe waingiaa looo

Anaposti nini huyo chagu maana mie alishanibloki kwa kumwambia anachukua picha online na kujifanya anapostiwa na ex-mume.

Bado anamtafuta Zari?
 
Anaposti nini huyo chagu maana mie alishanibloki kwa kumwambia anachukua picha online na kujifanya anapostiwa na ex-mume.

Bado anamtafuta Zari?

Haya iyo picha kachukua online hana jipya.Mshamba kweli anakazana kupost picha zake za studio.
 
Nimeona kaweka mdomo tu sasa yaan pamoja na kukaa Us kakosa wa kumuoa lollll,angejijuaàa angejikalia tu kimya maana zari wala hana habari

Hivi ndoa ya insta kati ya chaga barbie na Ivan inaendeleaje?
 
Mara muke ya Muganda!
Ndo alianza na muke ya mganda naona akaona Ivan hana time akachange huu ni wehu
mtu hata hawajaonana akajiita mke lol
ivan hana hata time na wanawake sijui tuhuma za insta ni za kweli
 
Ndo alianza na muke ya mganda naona akaona Ivan hana time akachange huu ni wehu
mtu hata hawajaonana akajiita mke lol
ivan hana hata time na wanawake sijui tuhuma za insta ni za kweli

Kuna gazeti la udaku lilitoa report kutoka vyombo vya habari vya uganda kuwa, Ivan anaikataa mimba alompa mwanamke anayeitwa Sharoni ambaye alikua rafiki wa karibu wa bi Zarina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…