Zari The Bosslady kahamia kwa Diamond na watoto wake wote watano?

Zari The Bosslady kahamia kwa Diamond na watoto wake wote watano?

Kwahiyo kamkimbia Mzee Baba
b6167b0e045e1403d663792679008398.jpg
 
Umasikini wetu tu ndio hupelekea kukataa watoto wa kambo kama mpunga upo mambo huwa sawa
 
Sawa kwani kuna shida gani Mwenyezi Mungu alishapanga iwe hivyo na alishapanga kuwa Daimond ipo siku atawalea hao watoto na ndio Mwenyezi Mungu alimkutanisha na Zari ili mpango wa Allah ukamilike hapo.unajua sisi binaadamu tumewekewa pazia hatuyajui ya mbeleni kwetu .laiti tungeyajua wala hakuna mtu angekubaliana na Mipango ya Mungu acheni Mungu aitwe Mungu hizo porojo tu.da watu bana .

Umemtaja MUNGU mara sita(6) kwenye comment yako ila umesahau hao jamaa ni WAZINZI tu sasa sijui wazinzi tunaunganishwa na nani kwenye dhambi yetu pendwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati ni rasilimali ambayo kila kiumbe kimepewa bure kabisa kulingana na mazingira yake katika kupambana na changamoto zake.....

Tunapozitumia nyakati vyema katika mambo yenye faida au kujenga maisha yetu....tunakuwa tumewekeza kwenye jambo la maana na lenye kutufaa maishani mwetu......tunapozitumia nyakati zetu vibaya kwa kufanya mambo yasiyo na manufaa kwetu kwa kuzifurahisha nafsi....basi tunakuwa tumepata hasara ambayo kamwe hatutaweza kuifidia.....

Wapo watu ambao walizichezea nyakati zao....na sasa wapo kwenye majuto makuu maishani mwao kila dakika ya mshale wa saa....huku wakiwa hawana la kufanya....

Na pia wapo kuna watu waliowahi kutambua hili mapema na kutumia vyema nyakati zao na leo wanayafurahia maisha yao kila dakika ya mshale wa saa

Kwanini wewe uwe miongoni mwa wenye kujuta kwa kuutumia wakati wako vibaya kwa kufanya au kujishughulisha na mambo yasiyo na msingi maishani mwako....!!??

Kama wazazi wako wasingeutumia wakati wao vyema kukusimamia wewe hadi kufikia hapo ulipo( ambapo wewe unaona ndio mwisho) wewe bila shaka usingefika hapo......kwanini wewe usitumie wakati wako kusimamia mambo yako ya msingi kwa faida ya uzao wako....!??

THINK BIG TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY
f72afbf668422c6da488fe8cf1551d80.jpg
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
dah!! mlokole mwenzangu leo umenifurahsha sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mungu akutangulie Zari.hao watoto bado wadogo.bado wanaitaji mapenzi ya mama.pambana.hakuna kama mama.
 
Acheni maneno Diamond hawez kulea hao watoto, na wala hawahitaji hata senti ya Domo, pesa ya baba yao ipo ya kutosha, hata ule upendo wa baba hawezi kuupata kwa Domo, ye mwenyewe haelewi mapenz ya baba yakoje, halafu ni lini mtaelewa kuwa Zari na diamond sio mke na mme hawana ndoa, ni mtu na mzazi mwenzie
 
Kwenye familia za kimasikini.ungesikia kelele.
Maana zina thamini kula kuliko kitu chochote.
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
Tupo wengi nimeangali hii kideo nikapata uchungu maskini Diamond atakuwa kama mgeni katika familia hii. Mwisho hawa vijana wakikua watamtandika Diamond. Aidha Diamond bado kijana mdogo kukurupushana na familia hii kubwa lazima awe anapumua nje jamani. Its unfair kwake ila afanye nini. Kila siku nasema kijana usioe mwanamke mwenye mtoto huyu ni mibaba mitatu!
 
Diamond ana shida gani watoto baba yao kawaachia mahela mpaka wanaumwa?
Hela si kitu hebu nieleze kama walivyokuwa wamekaa sebuleni na yeye anakuwa mmoja wao! Inabidi ajifungie chumbani na vitoto vyake tu
 
Diamond and Fans, hebu chukueni muda kidogo msome hii habari hapa chini halafu kila mtu atajua kupembuwa mchele na pumba.

What led to the separation of Zari and Ivan.

SOCIALMEDIA IS EVIL

What led to the separation of this couple that lived together for 11 years and rose from grass to grace?It all started when Ivan started promoting Zaris music career , while she was not famous in Uganda , in 2009 when Facebook hype had picked up in Uganda , zari became a household name . By then Judith heard was the leading socialite , then beef started between zari and Judith Heard , fans were divided between team Judith Heard and team zari and both fought about who owned more money. Zari told Judith she relies on old bazungu to get money , team Judith heard retailiated by telling zari she dates a fat and local sangoma who can’t speak English, this hurt zari so much and it started leading to a strain in their relationship, zari wanted Ivan to be perfect so as to clap back to her haters , Ivan just wanted to continue being himself , tension started arising in the relationship as zari rose fast to fame and now had cameras allover her , after her successful white party in 2010 , she was now the talk of the town with Ivan but deep inside she wasn’t happy with his image since haters always mocked her that she had afat sangoma who can’t speak English , zari became fraustrated which led to her cheating with a South African guy , rumors is that Ivan caught her red handed and out of anger slapped her . This caused more tension and the relationship grew apart , Ivan started trying to loose weight to maintain zari but she started looking for someone , she got lugudde , and taunted Ivan that she has aman with asix pack , she posted shirtless pictures of lugudde to show off his muscles to Ivan . Ivan was depressed and even tried to go for atuummy tuck surgery. Zari dumped lugudde and went on to date farouq ssempala, she knew ssempala had no money but she used his body and muscles to mock Ivan . Ivan become more depressed because he could not change his body neither could he speak American English like lugudde or farouq ssempala. Zari made sure that all her new men had Better bodies , something which she lacked in her marriage with Ivan . After a leaked sex tape of Zari with a west African man , farouq left Zari and she went on to hook up the talented young Tanzania artist Diamond who had the good body and was presentable , this was acomplete package for the Zari social media image . The rest is history , in the meanwhile Ivan continued to love her and was so close to her siblings like ting dis . Ivan told friends that zari left him because she wanted someone with a better body . , she wasn’t proud to be with him or show him off like her man by posting about him,in other words , the beef that started with Judith heard fans mocking Ivan is what led to the collapse of the 11 year relationship, what hurt Ivan most is when Zari would display the chests and muscles of her new men , lugudde, farouq and diamond just to taunt Ivan . He felt so small like aman . And resorted to drinking and stress which finally gave him pressure and stroke that killed him . In conclusion, it’s social media , seeking fame and validation that led to the downfall of this couple. Ivan could never get the six pack and speak proper English, yet that was the image Zari wanted for her brand , that is what depressed him most . She always praised Ivan because deep inside she knew he was agood man and even the brother of Zari never left Ivan’s side.ivan slapped her because of cheating but the public never forgave him.and what hurts Ivan’s family and friends is that she used to excuse of the slap but the truth is she just wanted to replace Ivan with aguy with a better image for showbiz that’s why she cheated on him yet he was the father of her kids and they hustled together to get wealth.Rip Ivan may God forgive your sins .
Tatizo lugha baba tuonee huruma.
 
Kwakweli me hata sijui kwanini watu wengi wanawafikiria vibaya watoto wa zari namna hiyo. Kwani wao ndio mara ya kwanza kukaa nao pamoja? Tunawa hukumu kwani huko na familia zetu tunaishije?maana tunahukumu wakati hatujui wenyewe wanaishije. Tusihukumu tusilo lijua.
 
Back
Top Bottom