Zari The Bosslady kahamia kwa Diamond na watoto wake wote watano?

Zari The Bosslady kahamia kwa Diamond na watoto wake wote watano?

Kijana huyu amejiingiza kwenye mgogoro mzito atakata viuno mpaka bolt zilegee jukwaani
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
Kuna uzi ulianzishwa humu kuwa walokole wana roho mbaya sana.Naendelea kuamin kuw ni kwel
 
Amina na wewe nakuombea kwa mwenyezi mungu uoe mwanamke mwenye watoto watatu wa kiume wakue wakudunde ili ukumbuke shuka wakati kunakucha
Hahahahaa mkuu usinichekeshee.mi nishaoa muda sana kaka. Pia inategemea ningekua sijaoa na napata mwanamke mwenye watoto ningeweza kuishi nae tu .si unajua utamu wa pipi mate yako mkuu.
 
Allah ndiye huwa anampangia Mungu cha kufanya au huyo allah kawa Mungu tangu lini? Thibitisha!

Sinatatizo na familia ya Nassibu na mke wake. Kafanya vyema sana.

Sawa kwani kuna shida gani Mwenyezi Mungu alishapanga iwe hivyo na alishapanga kuwa Daimond ipo siku atawalea hao watoto na ndio Mwenyezi Mungu alimkutanisha na Zari ili mpango wa Allah ukamilike hapo.unajua sisi binaadamu tumewekewa pazia hatuyajui ya mbeleni kwetu .laiti tungeyajua wala hakuna mtu angekubaliana na Mipango ya Mungu acheni Mungu aitwe Mungu hizo porojo tu.da watu bana .
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
Hii ndio roho halisi ya kilokole...
Mtu akijiita mlokole, mapambio mengi, bwana asifiwe nyingi ndo hizi roho zao.
 
Kuna uzi ulianzishwa humu kuwa walokole wana roho mbaya sana.Naendelea kuamin kuw ni kwel
Hawa watu nimewahi kukaa nao miezi sita nilihisi nimezungukwa na wasaidizi Wa Lucifer asikwambie mtu walokole wana roho mbaya sijapata kuona,nazani na maisha wanayopitia yanachangia..
 
Nimezaliwa Tandale, nimekulia Tandika na sasa naishi Mwananyamala Mkuu. Mwenzangu Wewe wa wapi Obey au Masaki au Mikocheni au Upanga au Kijitonyama au Makumbusho au Kawe Beach au Mbezi Beach? Nina hamu sana nami siku moja nije nikae tu huko Ushuani Kwako ili nitoe huu Ushamba wangu wa Kubobea / Kutukuka kuishi huku Uswahilini / Uswazinyo.
Umemjibu vizuri sana mkuu,watu wa hivi vijiji wanavyotokea huwa balaa! Jibu zuri safi sana
 
Kamuulize Pungufu aka Machache na Rais wa Ufaransa, Trump,na wengineo. Hii Couple mnaisakama sana kwa maneno yasiyopendeza. Kwani kuzaa watoto wengi unaoweza kuwalea/kuwatunza kuna shida gani? Hii ni familia iliyobarikiwa Fame, Makazi, Malazi, Chakula, Usafiri, Uzuri, Uzazi na Luxury zote mliozikosa hapa duniani. Mungu awaunganishe wawe Strong and Happy Family.
Tatizo kuzaa bila ndoa
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
We ndo wale walokole feki
 
Kamuulize Pungufu aka Machache na Rais wa Ufaransa, Trump,na wengineo. Hii Couple mnaisakama sana kwa maneno yasiyopendeza. Kwani kuzaa watoto wengi unaoweza kuwalea/kuwatunza kuna shida gani? Hii ni familia iliyobarikiwa Fame, Makazi, Malazi, Chakula, Usafiri, Uzuri, Uzazi na Luxury zote mliozikosa hapa duniani. Mungu awaunganishe wawe Strong and Happy Family.
Yeah, kama ilivyokuwa kwa Ivan! Ni vizuri sote kuombeana mema lakini katika uhalisia wetu kiongozi.
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
Wewe unaishi kibiti?
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
Izo pombe Unazokunywag alfu unakuja Kuandika pumba zako uku ukomee.....
Nyie ndo Mnanyimwag watoto mnabaki kuhangaika kwa waganga.siajabu kwa io roho mbaya yako nawe ni mtto wa dawa!!
 
Back
Top Bottom