Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

Vita vya ma - Ex ni vibaya sana... mwisho wa siku wataanza kusemana mpaka ambavyo hatupaswi kuvijua...

Mwanamke akiamua kukufanyia kusudi, daah! utajuta...


Cc: mahondaw
Wanaume si mna msemo wenu kwamba mnakifua cha kuhifadhi huyu Diamond vipi nilicho jifunza pia Zari japo umri mkubwa ana utoto mwengi wote wanapenda skendo
 
Wanaume si mna msemo wenu kwamba mnakifua cha kuhifadhi huyu Diamond vipi nilicho jifunza pia Zari japo umri mkubwa ana utoto mwengi wote wanapenda skendo

Sipo upande wowote...

Ila kwa mwanamke kufanya hayo yote aliyofanya au anayofanya ni kawaida sana...

Tena ni hulka yenu... ndiyo maana mwanaume mwenye tabia kama hizo ataambiwa "acha mambo ya kike" "unakua kama mwanamke"

Mwanaume lazima uwe na kifua cha kuhifadhi na kuupuzia mambo , pamoja na koromeo la kutokuropoka hovyo...


Cc: mahondaw
 
Me sikukusudia kumcompare Diamond na mavi au Ivan na mkojo, point yangu ilikuwa hii, uliposema Zari karuka mkojo akakanyaga mavi, nilielewa hivi kwamba Zari kaacha madhara kidogo (Mkojo=kero alizokimbia kwa Ivan) kafata madhara makubwa (Mavi=Kashfa anazozipata sasa hivi kwa Diamond). Huo ndio ulikuwa uelewa wangu, hivyo basi nilichotaka kurekebisha au kukiweka sawa kwenye huo msemo ni kwamba pahala ulipotumia neno mkojo ungetumia mavi vivyo hivyo kinyume chake! Kwa sababu (Kwa namna nilivyo ielewa hiyo kauli yako) madhara ya mkojo ni makubwa sana kuliko mavi, ndio maana nikasema kiafya ni bora ule mavi kuliko kunywa mkojo!!
Diamond ndio mavi kwasababu Ivan alikuwa na pesa kuzidi diamond pia Ivan alikuwa na umri mkubwa kumzidi diamond
 
Ungesema ameruka mavi akakanyaga mkojo, kiafya ni bora ule mavi kuliko kunywa mkojo mkuu..
Sijasema kula,nimesema kukanyaga!Wee wa wapi?Ushawahi kukanyaga kinyesi wewe?
 
Hapa nakataa mkuu sio wote tuko hivyo wale maisha yao toka mwanzo wako hivyo kila kitu walikuwa wanahitaji Dunia ifahamu. Naludia tena mkuu sio wote tuna ujinga huo.

Asilimia kubwa ya wanawake mpo hivyo ingawa siyo wote...

Na ni kitu cha kawaida sana kikifanywa na mwanake...


Cc: mahondaw
 
Vita vya ma - Ex ni vibaya sana... mwisho wa siku wataanza kusemana mpaka ambavyo hatupaswi kuvijua...

Mwanamke akiamua kukufanyia kusudi, daah! utajuta...


Cc: mahondaw
Umewahi kufanyiwa makusudi na mwanamke nini. Mbona una waswas sana.
 
Sawa asante... But pls note nilichoandika kila ukweli mchungu.... Because we are always learn from the best... Zari is one of them....
One of them?Hell no,unamuwekaje mtu kama huyo na wanawake kama Nancy,Jackline na wengine wa aina hiyo?Kuwa na pesa na kuwa maisha mazuri ni vitu viwili tofauti!
Imagine Zari ana watoto wakubwa tena wa kiume ambao wako mtandaoni,wanajisikiaje wakiona mama yao anatoka matusi ya nguoni?Wanajisikiaje wanapoona mama yao anadhalilishwa na kijana mdogo kama Mondi?Halafu unasema Zari is the best???Labda mimi ndio sielewi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…