Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
[emoji139]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume si mna msemo wenu kwamba mnakifua cha kuhifadhi huyu Diamond vipi nilicho jifunza pia Zari japo umri mkubwa ana utoto mwengi wote wanapenda skendoVita vya ma - Ex ni vibaya sana... mwisho wa siku wataanza kusemana mpaka ambavyo hatupaswi kuvijua...
Mwanamke akiamua kukufanyia kusudi, daah! utajuta...
Cc: mahondaw
Wanaume si mna msemo wenu kwamba mnakifua cha kuhifadhi huyu Diamond vipi nilicho jifunza pia Zari japo umri mkubwa ana utoto mwengi wote wanapenda skendo
Hapa nakataa mkuu sio wote tuko hivyo wale maisha yao toka mwanzo wako hivyo kila kitu walikuwa wanahitaji Dunia ifahamu. Naludia tena mkuu sio wote tuna ujinga huo.Tena ni hulka yenu
Diamond ndio mavi kwasababu Ivan alikuwa na pesa kuzidi diamond pia Ivan alikuwa na umri mkubwa kumzidi diamond
Sijasema kula,nimesema kukanyaga!Wee wa wapi?Ushawahi kukanyaga kinyesi wewe?Ungesema ameruka mavi akakanyaga mkojo, kiafya ni bora ule mavi kuliko kunywa mkojo mkuu..
Hapa nakataa mkuu sio wote tuko hivyo wale maisha yao toka mwanzo wako hivyo kila kitu walikuwa wanahitaji Dunia ifahamu. Naludia tena mkuu sio wote tuna ujinga huo.
A real wife...!! You mean what?That is why I admire you Eclat, you are not only a woman but a "Real Wife".
Tangu lini ?Zari alikuwa anaponda mizizi ya dawa za wateja, Ivan alikuwa mganga wa kienyeji.
Uchochezi huo. Hiyo pic ya peter na zari haijapitia dukapicha kweli ?
Umewahi kufanyiwa makusudi na mwanamke nini. Mbona una waswas sana.Vita vya ma - Ex ni vibaya sana... mwisho wa siku wataanza kusemana mpaka ambavyo hatupaswi kuvijua...
Mwanamke akiamua kukufanyia kusudi, daah! utajuta...
Cc: mahondaw
One of them?Hell no,unamuwekaje mtu kama huyo na wanawake kama Nancy,Jackline na wengine wa aina hiyo?Kuwa na pesa na kuwa maisha mazuri ni vitu viwili tofauti!Sawa asante... But pls note nilichoandika kila ukweli mchungu.... Because we are always learn from the best... Zari is one of them....
Sijasema kula,nimesema kukanyaga!Wee wa wapi?Ushawahi kukanyaga kinyesi wewe?
Hawa viumbe Zari na Diamond wasipo kuwa makini watatoleana siri za ndani zaidi yule mwanamke amepaniki sijui kwa nini au hili jambo ni kweli alisalitiUchochezi huo. Hiyo pic ya peter na zari haijapitia dukapicha kweli ?
Umeniquote mimi!Hujanielewa mkuu!!
Hebu isome comment yangu kuna mtu nimemquote hapo juu!!
Waganda wengi wanadanga sana kule sio kwa kuoa, ukimwi uliingia Bukoba TZ ukitokea UGANDA. Wale jamaa ni malaya sanaBosslady wa kutegemea K. Aisee huyu demu ni kilaza sijapata kuona.
Sio wewe..Umeniquote mimi!
Hii afya ya wapi ya kulisha watu mavi ?Ungesema ameruka mavi akakanyaga mkojo, kiafya ni bora ule mavi kuliko kunywa mkojo mkuu..