Haiwezekani awe the best kwa tabia labla kwa kudanga kwa wenye nazoOne of them?Hell no,unamuwekaje mtu kama huyo na wanawake kama Nancy,Jackline na wengine wa aina hiyo?Kuwa na pesa na kuwa maisha mazuri ni vitu viwili tofauti!
Imagine Zari ana watoto wakubwa tena wa kiume ambao wako mtandaoni,wanajisikiaje wakiona mama yao anatoka matusi ya nguoni?Wanajisikiaje wanapoona mama yao anadhalilishwa na kijana mdogo kama Mondi?Halafu unasema Zari is the best???Labda mimi ndio sielewi!!
Mkuu tofautisha madhara ya kukanya mavi au mkojo na kula mavi au mkojo!So kuruka mkojo na kukanyaga mavi unakuwa umetoka kwenye hali nafuu na kwenda kwenye hali mbaya!Me sikukusudia kumcompare Diamond na mavi au Ivan na mkojo, point yangu ilikuwa hii, uliposema Zari karuka mkojo akakanyaga mavi, nilielewa hivi kwamba Zari kaacha madhara kidogo (Mkojo=kero alizokimbia kwa Ivan) kafata madhara makubwa (Mavi=Kashfa anazozipata sasa hivi kwa Diamond). Huo ndio ulikuwa uelewa wangu, hivyo basi nilichotaka kurekebisha au kukiweka sawa kwenye huo msemo ni kwamba pahala ulipotumia neno mkojo ungetumia mavi vivyo hivyo kinyume chake! Kwa sababu (Kwa namna nilivyo ielewa hiyo kauli yako) madhara ya mkojo ni makubwa sana kuliko mavi, ndio maana nikasema kiafya ni bora ule mavi kuliko kunywa mkojo!!
Mmmmmh akitangulia yy [emoji38][emoji38]Bora angesubiri Mondi afariki
Umeanza kuniquote mimi kwanza kutoka kwenye main thread,mbona mbishi hivyo!Nenda page ya 2 post namba 35 ukaone unavyopoteza kumbukumbu!Sio wewe..
Hii afya ya wapi ya kulisha watu mavi ?
Umesema ni bora kula mavi kiafya kuliko mkojo au ?Kumbe kiswahili hii ni lugha ngumu sana kueleweka, hahahaa
Wewe ni mwanamke sana mkuu, I admire youBibie alitafuta a man who is sexy and fluent in English, Ivan na pesa zake zote lakini hakuwa na shule, alikuwa mnene na tumbo. Kitu ambacho wanawake hatujui ni kuwa, mwanaume anaekuenzi muenzi, utaishi kama malkia. Kwa Ivan Zari was his Queen.
Mkuu tofautisha madhara ya kukanya mavi au mkojo na kula mavi au mkojo!So kuruka mkojo na kukanyaga mavi unakuwa umetoka kwenye hali nafuu na kwenda kwenye hali mbaya!
Kama unabisha,weka hapo kinyesi na mkojo wa binadamu!Halafu piga raba kali,halafu chagua ukanyage juu ya kipi halafu uendelee na safari yako!
Naaam!Hahahaa.. Nimecheka! Halafu piga raba kali halafu uendelee na safari!!
Nyumba ya watoto
Hata akiondoka ni mwendo wa kuikodisha na kutafuna pesa zote.
Mbona hamimuambii dee arudishe ya Madale.. eeeeh
Acheni wivu.
Umeanza kuniquote mimi kwanza kutoka kwenye main thread,mbona mbishi hivyo!Nenda page ya 2 post namba 35 ukaone unavyopoteza kumbukumbu!
Being the best is subjective. inawezekana kwa mshana huyo mama ni the best while kwa wengine ni the worstOne of them?Hell no,unamuwekaje mtu kama huyo na wanawake kama Nancy,Jackline na wengine wa aina hiyo?Kuwa na pesa na kuwa maisha mazuri ni vitu viwili tofauti!
Imagine Zari ana watoto wakubwa tena wa kiume ambao wako mtandaoni,wanajisikiaje wakiona mama yao anatoka matusi ya nguoni?Wanajisikiaje wanapoona mama yao anadhalilishwa na kijana mdogo kama Mondi?Halafu unasema Zari is the best???Labda mimi ndio sielewi!!
Naomba kufahamu , hivi tangu Diamond aongeee kwenye radio yake ule usiku, amewahi tena kusema chochote juu ya haya mambo ?Hawa viumbe Zari na Diamond wasipo kuwa makini watatoleana siri za ndani zaidi yule mwanamke amepaniki sijui kwa nini au hili jambo ni kweli alisaliti
Hawa viumbe Zari na Diamond wasipo kuwa makini watatoleana siri za ndani zaidi yule mwanamke amepaniki sijui kwa nini au hili jambo ni kweli alisaliti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimependa hiyo ya kujikumbusha uwongo wa mange
MkuuWatu ya kwao yanawashinda wanayafuatilia ya zari na diamond hapo ndio utajua nan ana mtindio wa ubongo wakati ndoa na mahusiano yao yanawashinda
Lakini Diamond ni mdhalilishaji wa wanawake alio zaa nao acha apate anacho stahili ana utandale