Zarina Hakujiandaa kwa Shambulio la kustukiza

Zarina Hakujiandaa kwa Shambulio la kustukiza

Tatizo wengi wetu zari tumemjua badha ya kua na mondi...lakin zari for sure is a big brand..
Zari alijulikana kabla diamond hajajulikana...
Zari alikua nominated kwenye Africa mama awards kabla hata diamondi hajulikan...
Reality show yake ilikuwa inaonyeshwa kwenye national TV kabla mondi hajafanya at a vid yake ya kwanza
 
Zari kwa sasa anaugua gonjwa baya sana,linaitwa POST RELATIONSHIP MENTAL DISORDER,Hamisa aligua hili akachomwa sindano kumi baada ya kupona mwenyewe alienda kufuta kesi ya matunzo
Zarina amekubali kupokea presha ya wafuasi wake,wanaotaka ajibu kumzidi Diamond,anajikuta hawezi kwa sababu hakujipanga kabla
Zari kwa sasa anaowaonesha wafuasi wake wanaume wawili tpfauti ndani ya wiki
Huyo king bae ameyayuka kwenye thin air,sasa hivi wanaoneshwa mwingine,hii inathibitisha kwamba Zari ni kicheche!
Kwenye kikao mwanaume akichepuka ataitwa mzinzi,lakini kwa Zari kututhibitishia kwamba ni kweli anaingiza.bwana kwenye matrimonial house,hii ni hatari kwake
Kisheria Diamond anaruhusiwa kabisa.na mahakama,kuchukua wanaye ,kwa sababu ushahidi upo,bibie analala na njemba zingine,hafai kua.mama bora haswa kwa binti yao Latifa.
 
Zari kwa sasa anaugua gonjwa baya sana,linaitwa POST RELATIONSHIP MENTAL DISORDER,Hamisa aligua hili akachomwa sindano kumi baada ya kupona mwenyewe alienda kufuta kesi ya matunzo
Zarina amekubali kupokea presha ya wafuasi wake,wanaotaka ajibu kumzidi Diamond,anajikuta hawezi kwa sababu hakujipanga kabla
Zari kwa sasa anaowaonesha wafuasi wake wanaume wawili tpfauti ndani ya wiki
Huyo king bae ameyayuka kwenye thin air,sasa hivi wanaoneshwa mwingine,hii inathibitisha kwamba Zari ni kicheche!
Kwenye kikao mwanaume akichepuka ataitwa mzinzi,lakini kwa Zari kututhibitishia kwamba ni kweli anaingiza.bwana kwenye matrimonial house,hii ni hatari kwake
Kisheria Diamond anaruhusiwa kabisa.na mahakama,kuchukua wanaye ,kwa sababu ushahidi upo,bibie analala na njemba zingine,hafai kua.mama bora haswa kwa binti yao Latifa.
Acha kujidanganya Tena Mambo anayofanya kisheria Diamond ndo hata ruhusiwa kabisa kukaaa na watoto Vielelezo vya diamond vyote vipo mtandaoni

Hivi ujiulizi kwanini Diamond hajaenda mahakamani kudai watoto baada ya Zari kumbadilisha Tiffah uraia?
Inaonekana hujui taratibu za mwanaume anaepewa kukaa na watoto mahakamani

Diamond sio mjinga kuamua kukaa kimya na wanasheria anao
 
57258379_315709815781307_6073927631463454482_n.jpg
 
Kiukweli as a woman Zari anakosea hivi mwanamke anaejitambua anaweza ingiza hawara ndani kwake?tuacheni unaafiki tena una watoto wakubwaa?

Hivi wanawake tuna shida gani?kwanza kitendo chenyewe tu uchafu(uzinzi)unafanya hadharani mbele ya watoto?

Halafu nyumba umenunuliwa na mwanaume mwingine unaingiza mwanaume mbele ya watoto zako?wanakuona anakulala anaondoka daahh!

Sijawaza na sitafikia hukoo nimeapa wanangu hawatokaa wamjue hawara yangu hata akiwa na pesa unless anioe kabisaa ila sio kuzini tuu!

Wanaomtetea Zari anayoyafanya ni makahaba tu yasio na maadili!!!
Ila Video anamchamba Dada wa USA ndiyo imenifanya zaidi niamini hayupo normal... anaongea kama Binti wa Form 2 aliyebalehe... Eti napewa Maua... sijui blah blah... nikaona huyu amuna kitu... Utu usima ule na Watoto wakubwa vile maneno yote yale ya nini... kama siyo Stress.
 
Kabisa.... Mama ukishakuwa na Watoto hata kama ni wadogo... kuna vitu huwezi kufanya kwa heshima yako na heshima ya watoto wako.
Yeye ndo anajidhalilisha mama mtu mzima mwenye watoto kuna vitu hupaswi kuvifanya for the sake of the kids
 
Wabongo bwana kupenda kushoboka na watu wa nje!haijalishi analipa ada shillings million au billion I..ameliwa na diamond kazalishwa anatapatatapa daily!!

Jifunze kubalansi shoba we mtoto wa kiume!!!!

BTW ktk maisha yangu sijawahi kaa chumba kimoja sikumbuki Kwanzaa....!!!

Nnapokaa hujawahi hata kuomba maji!!!
Halafu Watanzania sisi nashangaa wanavyomshobokea huyu Mganda...
 
Uhh, but I guess things change
It's funny how someone else's success brings pain
When you're no longer involved
That person has it all
You just stuck standin' there
 
Back
Top Bottom