Zarina Hakujiandaa kwa Shambulio la kustukiza

Duh aiseee ila katanasha hakana shida daah kuna team Zari wana malove balaa sasa watagombana na vimada wa domo mpaka lini. Hastahili hizi attention kubwa
 
Duh aiseee ila katanasha hakana shida daah kuna team Zari wana malove balaa sasa watagombana na vimada wa domo mpaka lini. Hastahili hizi attention kubwa

Hapo amenaswa ana hack account za team Zari. Nae labda kapewa watu wa hivyo wamsaidie.. wana kazi haswa wote na uceleb
 
Nani aliyemuanza mwenzie? Apo Ndo utajua nani Ana stress na maisha ya mwenzie, domo Ana demu mpya, why anakazana na zari ?roho inamuuma Ndo bas Tena , toto lishachukuliwa na wenye wadhifa wao.
Ungesema bibi limechukuliwa...
 
Kweli Zari homa ya insta na JF kila kona zari zari aiseee.

Wasioijua PK ni hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutamba unataka na wanaume wa maana kumbe hawana uwezo wa kukukodia hata chumba kimoja, zari yo too cheap, unalaza wanaume kwenye nyumba ya diamond afu unatamba mtandaoni boss lady?

Wana uwezo wa kumlala na maua tu.
 
Mwana mke amshambulia mwanamke halafu wanawake wanashangilia
Kesho kwenye media ooh hatuthaminiwi ooh tunataka haki sawa ooh tunazalishwa hatuhudumiwi alie roga hii jinsia awahurumie[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…