warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Kupitia ukurasa wake wa instagram , mjasiriamali maarufu, Zari the bosslady amewaomba msaada mastaa wakubwa wa kike bongo kumchangia kijana Rajabu ambaye Ana ugonjwa wa ajabu, hili akatibiwe nchini India.
Mwana mama huyo aliyezaa na diamond , aliwatag mastaa kama , Wolper, jackline mengi, wema sepetu, aunty ezekiel , hali iliyozua sintofahamu kwa kuwa mastaa wengi aliowataja inasemekena Hana mahusiano nao mazuri mfano wema sepetu na jackline mengi
Mwana mama huyo aliyezaa na diamond , aliwatag mastaa kama , Wolper, jackline mengi, wema sepetu, aunty ezekiel , hali iliyozua sintofahamu kwa kuwa mastaa wengi aliowataja inasemekena Hana mahusiano nao mazuri mfano wema sepetu na jackline mengi