Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni utoto unamsumbua sisi hatusubiri mpaka akue huyu atawaambukiza wenzake,hapa ni mwendo wa viboko mpaka atie heshima kwa wakubwa zake,wana JF tusilee magonjwa hapa ni matibabu kwa kwenda front!!
Jamani mimi hata sijaendelea kusoma manake leo mshikaji kaamua kutudanganya!! Matokeo gani ya form six mwezi huu wakati watu ndio wanajiandaa kwenda kufanya mitihani hiyo hapo mwakani mwezi february. Au nyie Wakenya ndugu Gudboy! LOL! Kalagabhaokama kamaliza form six it means she should have got her exams result in april 2009.sasa haya matokeo ya mwezi wa kumi na moja kasoro siku nne yananichanganya.
huwezi kungojea chuo coz kama amemaliza six lazima atakuwa univeristy/clege alredy.
ACHA KUCHANGANYA HABARI.
Bata, nami nilikua nashangaa matokeo hayo ni ya form six iliyomaliza lini? nilitaka nimwulize lakini nakushukuru kwa kuuliza hilo,nimekugongea thanks kule.