Zawadi gani nzuri ya kumpa mpenzi wako

Zawadi gani nzuri ya kumpa mpenzi wako

Nilikuwa namletea mashoki shoki kila nikienda Zanzibar.
Siku moja akanichana live 🤗🤗🤗
images (4).jpeg
 
hadi bubblegum sio[emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23]ndioo at least mtu amefikiria akasema ngoja nimpelekee this my wangu.

Tunakosa tu mioyo ya shukurani na kuona mazuri kwa yale madogo tunayofanyowa na watu wetu.

Ila ndo isiwe bubble gum kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom